Taratibu aisee yaani umefanya moyo ulipuke puuuh..!
Yaani hawa platinum credit wataua raia huku....jamani msipende kuchoma mikuki ya moto rohoni yaani hata ni vigumu kuelezea
Hahahahahaa mimi walikuwa kila siku wananitumia majembe,siku nilipogundua walipoweka zile GPRS zao walifurahi,mpaka leo wananisaka na mkopo sijawahi kulipa.