baby zu
JF-Expert Member
- Nov 9, 2015
- 1,816
- 4,770
Mbaya zaidi akaanza kugawa kazi kwa jeshiYeah hata Mimi sikulipwa..... Nilianza na JK, JPM hakulipa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbaya zaidi akaanza kugawa kazi kwa jeshiYeah hata Mimi sikulipwa..... Nilianza na JK, JPM hakulipa
Mambo kwa ground ni tofauti sana [emoji3]Kukopa kuzuri ni kule kunakotokana na kutathmini faida ya mkopo kwanza.
Yaani nakopa Tsh 10m, nakatwa jumla ya 12. hapo ukweli nimekopa 8m.
Hiyo 8m kuna biashara naenda kuifanya itakayo niingizia zaidi ya 21m kwa muda usiozidi japo miezi mitano.
Katika hiyo miezi mitano nalipa mkopo wao wa m13, na kubakiwa na m8 kama faida.
Hapo nitakuwa nimepata m8 yangu ya kuendeleza biashara yangu ya mtaji wa m8.
Sasa huo nao ni mkopo? Kwenye watu wenye madeni na wewe usijihesabu.Sijui serikali imepanga kutufanya nini.
maana mimi hela ya kuwalipa hata sina🙆🙆🙆
Mbona hujauleta?Mwaka huu pale kongowe amezikwa mfanya biashara wa siku nyingi sana kisa madeni ya benk. Nkitulia ntaleta huu mkasa
Sasa ukope huna shida na hela ulipe riba ya bure?Kuna mzee aliniambia niwe nakopa kipindi nikiwa sina shida ya hela. Zangu nizihifadhi
We nenda bank ukaiweke dhamana, watakutolea midendaYangu nimejenga mwenyewe na Hati ina majina yangu
Usifanye biashara na serikali hasa kama biashara Yako Haina mizizi utafilisika tuProject za Serikali ni pasua kichwa sana, shift ya kutoka kwa JK to JPM imefanya makandarasi wengi kuwa maskini. Kukopea hela mradi wa Serikali pasua kichwa, labda uingie ubia na bank katika mradi husika inaweza pona pona yako.
Kweli kabisaUsifanye biashara na serikali hasa kama biashara Yako Haina mizizi utafilisika tu
hio ni 18m mzee..mikopo shida sana...Milioni moja na Laki 5 kiongozi miezi 12
Wengine wanaita kimangaraKweli hiyo kausha damu yani hakuna nafasi ya kujipanga ata wiki
Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
real etste inajengwa kwa profit generated sio mkopo...kwa sababu retune yake hadi uufikie profit margin ni mda mrefu labda zingekuwepo bank of investment hapa tz...zote ni commercial...hakuna itakayokupa grace period..ladba uchukue mkopo kumalizia real estate yako watu waingie uanze kupiga hela ila sio kujenga JARIBU UJE UTOE USHUHUDA HAPA.Ni jambo linawezekana kabisa 100% hasa kama unataka kuekeza kwenye real estate cyo kila mkopo uendeleze biashara. Kukopa na kujenga kwa ajili ya biashara n nzur pia.
Nimemuajiri mama yako Mimi ndio naamua mle nini kwenupole mr.ticha...mbwa mwalimu ana hasira
Je hata hiyo ya bila riba alifanikiwa kulipa?Ni mwendo wa kuhamisha madeni, wa mwisho ama zake ama zangu..
Juzi kuna mshkaji wangu kaenda kuwashtaki taasisi iliyomkopesha ya kuwa wana mikopo kandamizi baada ya kuvutana, baada ya uchunguzi bahati ikawa kwake, akaambiwa alipe deni bila riba maana taasisi haikusajiliwa, na alishakaa na hela miezi 13.
Sure bro. Mambo yakigoma huwa ni balaa.Je hata hiyo ya bila riba alifanikiwa kulipa?
Maana ninavyojua, ukishafirisika hata uambiwe kulipa bila riba ni mtihani tu!
Ninawaona kina mama waliochukua pesa za Halmashauri zisizo na riba wanavyohaha namna ya kulipa marejesho tarehe zikifika!
Ungeweka wazi kwamba mkopo wako ni wa chupi mkononi na umewalenga mademu tu..😄Anayehitani mkopo, nakopesha riba ni 10%
Mkopo minimum kuanzia 1m. Asanteni
Ni mwendo wa kuhamisha madeni, wa mwisho ama zake ama zangu..
Juzi kuna mshkaji wangu kaenda kuwashtaki taasisi iliyomkopesha ya kuwa wana mikopo kandamizi baada ya kuvutana, baada ya uchunguzi bahati ikawa kwake, akaambiwa alipe deni bila riba maana taasisi haikusajiliwa, na alishakaa na hela miezi 13.
Nina mkopo wa milioni 14 hapa,biashara zinaenda mwendo wa kobe bank wanavyopiga simu soon nitakimbilia Burundi [emoji276]
Naomba msaada, nawezaje kukopa na sina biashara lakini nina Nyumba yenye HATI?? Nifanyeje niweze kupata mkopo??