Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilikosea sana mkuu. Sema yule Mkenya ilikuwa ndo tabia yake. Mungu amlaze anapostahili. Kadhulumu wengi sanaHapo ulikosea kwa mkenya tu, hasa ulivyomlipa pesa yote, kwenye deal yoyote ya ivyo wewe nguvu yako iko kwenye pesa yako. Sasa kama umeshamlipa yote unabaki huna nguvu tena
Katika bank zimenishinda moja ni NMB ukiweka pesa kila Mwezi Makato makubwa ni kwanini wanafanua hivi.NMB mkopo riba ni asilimia ngapi Kwa mwaka
Simba murugi😂Sio tu kuanzisha biashara.
Mimi sichukui mkopo kufanya chochote! Heri nife maskini! Mana moto unaoniwakia nimeshakufuru sana MWENYEZI
Mikopo inaleta fedheha hasa kausha damu ukishindwa kurudisha wanakuja kubeba hadi chupi, nilishudia kwa mdada mmoja hivi.Mikopo ni sumu!
Mikopo inaleta magonjwa ya pressure, kisukari na moyo.
Mikopo inafanya ndoa zinavunjika.
Mikopo inafanya watu wanashindwa hata kupata hamu ya kujaminana.
Hii kali, kuna mikopo sio rafiki kabisa.Aisee hii mikopo iko mizuri na mibaya, nilishawahi kuchukua M10 za mkopo hapo sikujua namna ya kurejesha maana ilikuwa haraka haraka siku yule jamaa ananipa utaratibu wa kurejesha niliishiwa nguvu, maana nilitakiwa nilipe jumla ya M16 kwa miezi sita, cha kustaajabu hela yote niliijengea, nyumba nikaiuza nikageuka mpangaji kwenye hiyo nyumba, alienunua hiyo nyumba nae akanipa notisi niachie nyumba yake.
Leta shuhuda mkuu tujifunzeFunzo lingine usichukue mkopo kusolve ishu zako binafsi[emoji1787][emoji1787] hi nitakuja kuleta ushuhuda
Uko sahihi, bila mkopo huwezi fanya maendeleo lazima tu utahitaj mkopo otherwise utachelewa sana kwenye maishaMkopo muhimu, hivi Unadhani utajenga kwa kipato Cha 1m bila kukopa?
Safi sana uliwakomesha. Wapumbavu sanaHahahahahaa mimi walikuwa kila siku wananitumia majembe,siku nilipogundua walipoweka zile GPRS zao walifurahi,mpaka leo wananisaka na mkopo sijawahi kulipa.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] daah ila watu kumbe wamekutana na masaibu mengi, ukikaa peke yako unaweza kuhisi kwamba hakuna aliyesuffer kama Mimi kumbe wapo. Good enough watu hawakati tamaa tunajifunza.Aisee hii mikopo iko mizuri na mibaya, nilishawahi kuchukua M10 za mkopo hapo sikujua namna ya kurejesha maana ilikuwa haraka haraka siku yule jamaa ananipa utaratibu wa kurejesha niliishiwa nguvu, maana nilitakiwa nilipe jumla ya M16 kwa miezi sita, cha kustaajabu hela yote niliijengea, nyumba nikaiuza nikageuka mpangaji kwenye hiyo nyumba, alienunua hiyo nyumba nae akanipa notisi niachie nyumba yake.
Unaandika kama motivation spika...kana kwamba mambo yote yamepangika.Kukopa kuzuri ni kule kunakotokana na kutathmini faida ya mkopo kwanza.
Yaani nakopa Tsh 10m, nakatwa jumla ya 12. hapo ukweli nimekopa 8m.
Hiyo 8m kuna biashara naenda kuifanya itakayo niingizia zaidi ya 21m kwa muda usiozidi japo miezi mitano.
Katika hiyo miezi mitano nalipa mkopo wao wa m13, na kubakiwa na m8 kama faida.
Hapo nitakuwa nimepata m8 yangu ya kuendeleza biashara yangu ya mtaji wa m8.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] msaidie anakopa kwaajili ya nini mpe ideas ili wew usiingie kwenye shida, afanye marejesho mwenyewe.Dadangu anafosi nimwandikie barua ya mkopo,
Anakopea kiwanja cha urithi, hii ni mali yetu mimi na yeye....hii pesa nina wasiwasi hatarudisha.
Naandika kesho kuepuka lawama ila najua ili deni nitalipa mimi dadeki.
Hadi kina Bakhresa wanakopa Bank wanaendesha biashara zao. Kukopa muhimu sana ila make sure, narudia make sure Pesa unayokopa huli hata mia, teseka umalize mkopo ubaki na mtaji wako ndo uendelee kula maisha. Cha kurejesha ni Faida sio Mtaji.Uko sahihi bila mkopo huwez fanya maendeleo lazima tu utahitaj mkopo otherwise utachelewa sana kwenye maisha