Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahahahaaKama hudaiwi usije kuoa mwanangu
Mzee wenu anawadanganya,kwanza wanafacitate malipo ni NSSF/PSSSF hazina Nazi yao ni kutoa hela tu.hata kama mstaafu hajahakikiwa hela wanamuingizia kama kawaida.Mkuu mimi Mzazi wangu kakopa pesa Banki lakini kwa marejesho ya banki kukata kwenye pensheni yake sasa pensheni yake Azina hawaja muingizia benki miezi 4 imefika sasa Afisa mikopo wa Banki ana tusumbua sisi watoto tumpeleke mzee wetu Azina akahakikiwe, Mimi nimekataa simpeleke kwasababu pesa alivyokopa haja tugaiya kaitumia peke yake, sasa hatujui afisa mikopo wa benki atazipataje pesa zaidi ya Milioni 10
Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
On the otherside of the story: Kwa wakopeshaji, Kuna shost anaishi huko uswahilini kazi yake kukopesha wamama. Sasa kuna muda anaumwa sana ukimuuliza anasema wakopaji wanamloga asahau madeni [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Akaanza kwenda kwa mganga na yeye kujiweka fit, Mwisho ameolewa na mganga siku hizi na biashara yake ya kukopesha anaendelea nayo.
Aisee. Kama naiyona familia yake inayo pitia kwa sasa,[emoji26]Haya sasa nawapa kisa
Huyu mzee wa makamo (around 49 au 50 hivi) alikuwa moja ya wenye maduka makubwa sana ya vitu vya ndani jumla na reja reja. Aliwekeza kwenye majengo akawa na nyumba za wapangaji na yake ya kuishi. Kifupi milioni 20 hadi 40 hivi za mzunguko wa biashara tu zilikuwa hakosi bado mishe zingine za kumuingizia hela.
Huku na huku sijui alipata pepo gani lilomtuma aende benk kukopa tumilion kadhaa dhamana zikiwa mali zake iliwemo duka, na nyuma zake zote (hazipungui 3 au 4 hivi).
Baada ya mkopo mambo yakaenda ndivyo sivyo watu wa benk wanataka Chao.
Akawa anakopa watu ili akimbizane na kasi ya bank....
Harakati zote hizi zikagonga mwamba mali zake zikapigwa mnada.
Kukwepa aibu akakimbilia shinyanga akaanza biashara ya kuuza mchele wa reja reja kwa kupewa kamtaji kadogo na mama yake mzazi baada ya kuuza shamba lake huko killage (kijijini).
Muda wote akawa mtu wa mawazo hadi akili zikachanganya akafariki..lakini hadi anafariki anaongelea mali zake na utajiri wake ulioteketea...
Kwa hiyo wandugu mikopo ni mizuri lakini ikikugeuka utaomba poo
Mimi nilikopa milioni 8 ada na meals. Nikanunua kiwanja 3m. Nyingine matumizi kidogo na ada. Kile kiwanja nilichonunua miaka 12 nyuma leo thamani yake ni 50m.Hivi wale wa HELSB vp?
Nyie mnadai balaa,tokea nione mmempora mama ntilie sufuria na kuuza kisa kachelewa kurejesha siku ya marejesho[emoji23]Kwanini mkuu mbona tupo njema Sana
Ni wachache wenye kujua,wengi uangukia puaNot true. Mikopo ni kujua namna ya kwenda nayo tu.
Kila mtu aliumia...Aisee. Kama naiyona familia yake inayo pitia kwa sasa,[emoji26]
Mh kaka taratibu nduguHuwajui watu wa Pwani? Ndio zao hizo hawanaga akili
Mikopo Ni nyoko Moja matata.Kuna dada alikuwa ananisimulia jinsi nyumba Yao ilipigwa mnada na mikopo chechefu mama Yao alikopeaga..daah mkopo ulinifanya niwe mpangaji kutoka kuwa baba mwenye nyumba
mkopo ulinifanya nitembee barabarani nikiwa naongea peke yangu bila kusahau hasira zisizokwisha kwa watu wakaribu
MREJESHO Mbona zaman Sana,Yeah enaseketesha sana
Hujaleta mrejesho wa ticha na mkewe
.
Vp?
Nitag basiiMREJESHO Mbona zaman Sana,
pitia nyuz zangu
Kwa wewe utalipa mbn ,ke kabisaaaaNina mkopo wa 1M point...
Leo natakiwa nianze rejesho ila pesa yote imeishia kwenye harus
Nawazaaaaa
Miujuza itendeke tuu
Dada nipo DSM huyo anayetoa mikopo ya kausha damu-naweza kupata mawasiliano nina msiba hapa afu sina alternative kabisa.Nitag basii