sio chawa za ukubwani chawa za utotoni, haikumaanisha uchafu la hasha ilikuwa ni hali ya kawaida iliyowatokea watoto wengi tulio ishi vijijini. na je Kunguni kitandani na mvua ikinyesha nyumba ina vuja visehem sehem sasa ikivuja kitandani ndio mnahama kabisa na je kulalia godoro la sufi kwenye kitanda kilicho sukwa cha miti au ulienda kwa babu yako akakuachia kitanda mjukuu yeye akatandika majani chini ili ninyi mlale. wote wa mjini hawana experience hii umeme ukikatika wanalalamika ni kweli walizaliwa nao na wakakua nao sisi huwa hatuhangaiki wakikata tunaona kawaida kwanza ndio tunaona matumizi yanapungua sana.