Tuliowahi kuwa na chawa tukutane hapa

Nyumba inavuja unategeshea sufuria ya kupikia ugali! Umeme unakatika wewe wala shida hamna unawasha mshumaa wako!
 
kunguni ni noma yule msela anajua kula na kipofu ....akiona unafurukuta tu anatuliza ball yaani anakuwa ameshajua kuwa amekupa vitu hivyo anasubiria tena upate usingizi ili aendeleze mechi
Hahahah msela mavi sana kunguni
 
kunguni ni noma yule msela anajua kula na kipofu ....akiona unafurukuta tu anatuliza ball yaani anakuwa ameshajua kuwa amekupa vitu hivyo anasubiria tena upate usingizi ili aendeleze mechi
afadhali kumbe unawajua kunguni kwa undani zaidi lol bigup ntakurushia vocha mwanangu uko vizuri
 
Hebu weka picha

Hahaha, kwa kiingereza wanaitwa lice, nimejaribu kutafuta picha inayofanana na uhalisia sijaipata.

Ingia google, tafuta images za lice.

Siku hizi hata vijijini chawa wamepungua sana, miaka yetu wahenga hii kitu ilikuwa shida.
 
kunguni ni noma yule msela anajua kula na kipofu ....akiona unafurukuta tu anatuliza ball yaani anakuwa ameshajua kuwa amekupa vitu hivyo anasubiria tena upate usingizi ili aendeleze mechi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…