Tuliowahi kuwa vibaka au majambazi tukutane hapa

[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Uje uende ukakili na kumuomba msamaha huyo mzee uliyetaka kumuua kwa panga
 
Mwizi ni yule anayeiba pesa za ruzuku za chama kule ufipa
 
Mi nilikua mdokozi hatari alafu ni yule dogo mkimya hata kunishutumu huwezi
Nshaiba sana magengeni chochote kinachofaa napita nacho
Nshaiba sana chupa za soda na bia ndani mwa watu,kuna siku nlikuta chupa za soda msikitini.. Nkatembea nazo mbele kwa mbele.
Nshamsachi sana anko, akitundika suruali yake kabatini ameumia
Mtoto wa anko alikua anaweka hela kwenye kibubu (elfu10 kila siku)... Kila baada ya siku tatu lazma nikachukue posho kwenye kibubu.
Nshateka sana kuku za watu na bata, mwendo wa supu tu..
Nshaiba mbuzi kama watatu hivi mi na ADC wangu.... Tukauza
Nshaiba viatu vya mamdogo nikaenda kuuza ili niende sudani kwa wahaya kupata fleva.
.... Matukio yote hayo na mengine nimesahau,sijawahi kukamatwa hadi kustaafu kwangu.
 
Dah hiyo ya sudaninkwa wahaya kupata fleva hapo [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Aisee!
 
๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜† Wewe mkali mpka ulikua na ADC wako๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ
 
๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜† Wewe mkali mpka ulikua na ADC wako๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ
Tena huyo nilimstaafisha maana ilifika kipindi akawa mwoga ikanibidi nitafute mwingine mwenye ujasiri na huyo tuliiba naye kuku kama wote... Kwa wiki kula kuku kumi ilikuwa kawaida sana.. Nilinenepa kwakweli
...
 
Tena huyo nilimstaafisha maana ilifika kipindi akawa mwoga ikanibidi nitafute mwingine mwenye ujasiri na huyo tuliiba naye kuku kama wote... Kwa wiki kula kuku kumi ilikuwa kawaida sana.. Nilinenepa kwakweli
...
Wengine tofauti na wizi wa majibu kwenye chumba cha mtihani hatuna wizi mwingine๐Ÿšถ๐Ÿšถ
 
Wengine tofauti na wizi wa majibu kwenye chumba cha mtihani hatuna wizi mwingine๐Ÿšถ๐Ÿšถ
Bora uwe hivyo mkuu.... Siku moja nilikosa kupiga pepa alafu maticha wakajaa sumu kinoma.,ikabidi nijiongeze kininja nikaingia ofisini nikabeba mitihani ya darasa zima nikaenda kuitupa... Kwa uzoefu wangu wa kujitetea ikabidi ticha anipe maksi70 bila kupenda maana alitakiwa akadirie maksi kwa kila mwanafunzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ