Tuliowahi kuwasumbua mademu PM tukutane hapa

kwa hiyo unaona mi sistahili kuja pm kwako ??
au unafikiri kuna kitu cha maana nitapata ?
nyie akina hawa vipi ??
Hapa tu unalalamika ivi,ukija pm si utanchoma kisu kabisa[emoji3][emoji3][emoji3]haya kama huna nissan nyeupe njoo
 
Hahaaa. Mie ntajitolea Kaka sababu unapitwa na Vingi.

Sababu Urafiki, undugu, Ukaka, Udada, Uchumba, Uhasama unaunganishwa na PM maana ndio watu wanaanzia huko baadae wanahamia sehemu iliyo salama zaidi nje ya Jf.
Mmmmh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…