mshipa
JF-Expert Member
- Jun 16, 2015
- 12,253
- 22,843
We ngoja nitakusumbua unianzishie uziHahaaaaaa. Aiseeeee.
Jf raha sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We ngoja nitakusumbua unianzishie uziHahaaaaaa. Aiseeeee.
Jf raha sana.
Na viben10 ndio vimejaa sana humuHa haaaa ila wanaokuja kwa style wengi ni watoto sana
[emoji23]Kama kule nilishindwa kukujibu hapa sitaweza pia
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Msitutenge tuvumilieni tutakuwa tu
kumbee!!Hamna bwana. Sema kuna mtu unakua tu unamzimikia humu siku akija pm wala humletei pozi. Na namba akiomba unampa kiroho safi. Na huwa na sisi tunaonyesha response kwa wale tunaoona wana akili.
Hapa tu unalalamika ivi,ukija pm si utanchoma kisu kabisa[emoji3][emoji3][emoji3]haya kama huna nissan nyeupe njookwa hiyo unaona mi sistahili kuja pm kwako ??
au unafikiri kuna kitu cha maana nitapata ?
nyie akina hawa vipi ??
Napupu kekiii babuuu!!!!Niliowafuata Pm
Evelyn Salt huyu anaringa kama anakunya keki hadi akawa hanijibu nikamuuliza yaani hadi mimi
alichonijibu sasa
nitaendelea
shunieeNa viben10 ndio vimejaa sana humu
Ila kwangu Ni majangaHii elimu ni mkombozi kwangu
Uliamua kubaki dada[emoji13]Hahaaa. Mie ntajitolea Kaka sababu unapitwa na Vingi.
Sababu Urafiki, undugu, Ukaka, Udada, Uchumba, Uhasama unaunganishwa na PM maana ndio watu wanaanzia huko baadae wanahamia sehemu iliyo salama zaidi nje ya Jf.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] nakujanicheki pm babe
Haha hutaki mchumba weweKumbe ebu nielekeze mae kuna kimtu kinankera san
Unakumbuka ulivyonipiga kibuti kule PMAcha niwe msomaji tu
Kama sio wewe vile ulikuwa unaimbisha unamwaga hadi mchoziachana na mimi nyau.. mimi vi andunje vipite kuleeee
Hujaenda chuo bado?Msitutenge tuvumilieni tutakuwa tu
hivi Shunie hunioni au makusudi tu ??Na viben10 ndio vimejaa sana humu
MmmmhHahaaa. Mie ntajitolea Kaka sababu unapitwa na Vingi.
Sababu Urafiki, undugu, Ukaka, Udada, Uchumba, Uhasama unaunganishwa na PM maana ndio watu wanaanzia huko baadae wanahamia sehemu iliyo salama zaidi nje ya Jf.
miss you babe. niache nife lakini manake wewe umekimbia masharti, umekimbia raha wakati wenzako wanaitafutaKufa kabisa.
Sawa mkuu nimekosea mimi nisameheUkimaliza niachiee