Tuliowahi kuwasumbua mademu PM tukutane hapa

Tuliowahi kuwasumbua mademu PM tukutane hapa

Ooohoo!huyo kwenye comment zake tu ni mtata,huko pm si ndio itakua balaa!watu mna moyo!
bwana weee watu wana moyo haswaaa maana swhiba wangu jest huwa hataki ujinga ..nivichambo tu mwanzo mwisho kama kammeza bi Hindu
 
431952.jpg

haha
Mm Mzma tu napambana na msimu wa wapendanao miss u
 
SAA 3 asubuhi (mambo shunie)
saa 6 mchana(shunie niaje mzima)
SAA 8 mchana(daahh shunie mtoto cheupe wanitoa udenda ujue)
SAA 10 alasiri(shunie niambie)

saa12 jioni (shunie cheupe upo)

hahaa

sasa dawa yake mpige mzinga ..harudi tena ..akirudi basii jiandae kuanzishiwa Uzi ..mademu wa Jf wanapnda Pesa mnoooo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaani unawajua vizuri sana
 
Back
Top Bottom