Tuliowahi kuwasumbua mademu PM tukutane hapa

duh,
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] dah, hayo mambo ya kichwa kichafu, yupo hapa, atoe mauzoefu yake
 
Mimi kuna mmoja nimemPM tokea 30/1 hadi leo hajapata nafasi ya kujibu ila sijasumbua mademu, soon nitaanza kuwasumbua hadi waniblock wote ili niachane na PM
 
sikia wewe utakua hujui kama unashare
kwanza huyo Shunie ni muongo
anko wake namjua long time kitambo macho yake kama mwizi mwizi unaweza ukaona anacheka kumbe amekasirika

niamini mimi
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…