Kweli kabisa, usipokuwa makini na maahadi makubwa makubwa kama hayo unajiingiza chaka mwenyewe, uongo lazima utumike kufanikisha haya mambo kwa kiasi fulani.Ngoja waje watasema maana wengine mpaka walinialika five star hotel tukaongee!!! Shida ukimzunguka kidogo ukimtwanga maswali ya msingi majibu yanakuwa tata unajua tu kuwa hapa ninataka niingizwe chaka tu!!! Ukweli PM kuna mambo mengi sema kwa sheria za JF hatutakiwi kuweka hadharani yale mnayochat ila kwa kweli yanavutia sana na kuondoa stress!!!!
DM ipo twita hapa kuna PmMademu ndiyo wananitafuta mm DM sema wengine nawapotezea...
Siku hizi kapotelea wapi, maana simuoni tangu nijiunge JF.Kuna yule AshaDii pia huyu naye bila ya shaka PM yake ilikuwa inateseka sana kwa jinsi alivyokuwa maarufu hapa na michango yake moto moto katika majukwaa mengi na hasa MMU.
Iko wazi. Sitamani kuifunga sababu nitakosa kuwasiliana na watu wengine tunaowasiliana nao kule. Nawaignore tu sasa hivi.We PM yako iko wazi? Ushawahi kutamani kuifunga? Mi sioni sababu ya mtu kufunga wakati unaweza kuignore messages au kublock wale wasiofaa
Watu wanaahidi uongo? [emoji3][emoji3]Kweli kabisa, usipokuwa makini na maahadi makubwa makubwa kama hayo unajiingiza chaka mwenyewe, uongo lazima utumike kufanikisha haya mambo kwa kiasi fulani.
Ukiona anaanza kukwepa maswali juu ya jambo alilolisema ujue ni muongo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahaaa. Mie ntajitolea Kaka sababu unapitwa na Vingi.
Sababu Urafiki, undugu, Ukaka, Udada, Uchumba, Uhasama unaunganishwa na PM maana ndio watu wanaanzia huko baadae wanahamia sehemu iliyo salama zaidi nje ya Jf.
Siku hizi kapotelea wapi, maana simuoni tangu nijiunge JF.
Nimewahi kupitia post zake kiukweli alikuwa machachari sana.
Hiyo mbinu haiepukiki[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Watu wanaahidi uongo? [emoji3][emoji3]
Sifa ya mwanamke hiyoKuna wanawake wanaringa huko PM.
Mi ninavyochukia watu waongo. Uniahidi kunipeleka Karambezi halafu ghafla unipeleke Mk bar nilivyo kauzu nitakwambia bye.Hiyo mbinu haiepukiki[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Bora umenena wewe mkuu!jamaa sijui ndio wale wale!Rafiki yangu ninayekuheshimu, kuweka avatar ya kike sio poa kabisa.
Nilimusoma kwenye Interview ya Max aliyoianzisha King'asti baadae akaachiwa yeye aiendeshe ilikuwa nzuri sana japo maswali wadau waliuliza kabla.Yuko humu amekuwa Kingunge siku hizi, Ila michango yake ilikuwa ni moto sana na ilikuwa inapata wachangiaji wengi sana. Na alikuwa ana uwezo mkubwa hata katika jukwaa la siasa pia ingawaje baadaye akaamua kuachana nalo kama ulijualo jukwaa lile lilivyo na maudhi.
Zamani viumbe Hawa walikuwa wachache JF. Alikuwepo pia AshaDii, firstlady Na FirstLady1Kama kuna watu wamepata shida kule PM nadhani Mamndenyi atakuwa mmoja wapo halafu kulikuwa na yule Cheusimanagala na Avatar yake matata sana.
Huyo ni JF first lady. She is a big boss hapa mjengoni.
Kuna Mod anaitwa Asha Abdillah au yeye aliukwaa uMod?
Nipo brother, kheri ya mwaka mpyaMiss u sana my boy[emoji23]
Shughuli za utumishi wa umma zimemtingaNi Kweli FirstLady1 naye alikuwa maarufu sana humu. Halafu ni mtu poa sana. Siku hizi humuona kwa nadra sana.
hahaa huna adabu ..namm siwezi kuwa katka kundi hilo neverWewe uko kundi wa wasioboa bado.