Tuliowahi kuwasumbua mademu PM tukutane hapa

Tuliowahi kuwasumbua mademu PM tukutane hapa

Ahhhaha mwenyewe nilimwambia alicheka sana akaniambia kwahiyo ningekuwa wale vibabu ndio ungenikimbia nikamwambia yaan nilivyoona wameshika simu wanapiga nikajua ndio wewe nimefunika simu yangu ingeita ningeizima kabisa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahaha nyie si mnasema wababu ndio wanajua kutunza vijana hatujali hisia zenu
 
Ahahha kuna shemeji yangu mmoja yupo humu tunaitana shemeji wenyewe tupo kama ndugu sasa hivi

Tulikua tunachat pm shemeji yangu ni mstaarabu tumezoeana pm hakuna kunisumbua kuomba pic wala nini siku ya siku anataka tuonane hapo sijui anafananaje wala hajui shunie anafananaje

Nikaenda eneo la tukio nipo na rafiki yangu mmoja nikamuwahi nimekaa naangalia mlango akaniambia nipo na rafiki yangu basi kila wakiingia watu wawili naangalia mara wameingia vizee viwili nikaifunika simu yangu nikasema kama ndio yeye atapiga akome [emoji3] sipokei

Bada ya mda wakaingia wakaka wa makamo moja kwa moja alikuja kwenye meza yetu shunie shemeji yangu mm wala sikutag unajijua popote ulipo mtu ambaye sijutii kukufahamu jf Mungu azidi kukuweka tu na mautundu yako [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Interesting....
 
Ahahha kuna shemeji yangu mmoja yupo humu tunaitana shemeji wenyewe tupo kama ndugu sasa hivi

Tulikua tunachat pm shemeji yangu ni mstaarabu tumezoeana pm hakuna kunisumbua kuomba pic wala nini siku ya siku anataka tuonane hapo sijui anafananaje wala hajui shunie anafananaje

Nikaenda eneo la tukio nipo na rafiki yangu mmoja nikamuwahi nimekaa naangalia mlango akaniambia nipo na rafiki yangu basi kila wakiingia watu wawili naangalia mara wameingia vizee viwili nikaifunika simu yangu nikasema kama ndio yeye atapiga akome [emoji3] sipokei

Bada ya mda wakaingia wakaka wa makamo moja kwa moja alikuja kwenye meza yetu shunie shemeji yangu mm wala sikutag unajijua popote ulipo mtu ambaye sijutii kukufahamu jf Mungu azidi kukuweka tu na mautundu yako [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Naamini ulitegwa wewe kabla iweje hakufaham halafu aje ulipo?
 
Ahhhaha mwenyewe nilimwambia alicheka sana akaniambia kwahiyo ningekuwa wale vibabu ndio ungenikimbia nikamwambia yaan nilivyoona wameshika simu wanapiga nikajua ndio wewe nimefunika simu yangu ingeita ningeizima kabisa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Back
Top Bottom