Hahaha nyie si mnasema wababu ndio wanajua kutunza vijana hatujali hisia zenuAhhhaha mwenyewe nilimwambia alicheka sana akaniambia kwahiyo ningekuwa wale vibabu ndio ungenikimbia nikamwambia yaan nilivyoona wameshika simu wanapiga nikajua ndio wewe nimefunika simu yangu ingeita ningeizima kabisa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaani nilikuwa nakufanyia fujo?Ahaha hiyo kabla sijafunga pm Rrondo
Aisee jitahidi ujue ID yake.humu kumejificha mengiSema mi toka nione anko wangu ana JF app kwenye simu yake nimekua makini kweli na watu wa humu. Maana ni fisi hatari na yeye
Nop hiyo quote ilikua sio yako ujue nilimjibu manga nahisi ya mzigua nilikujibu sio hiyo rudi nyumaYaani nilikuwa nakufanyia fujo?
Hapana aisee sio kwa mababu wale na miwani yaoHahaha nyie si mnasema wababu ndio wanajua kutunza vijana hatujali hisia zenu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] usiniambie kwahiyo ankole na yeye yupo humu I'd anayotumia vipi hujaimanya
Interesting....Ahahha kuna shemeji yangu mmoja yupo humu tunaitana shemeji wenyewe tupo kama ndugu sasa hivi
Tulikua tunachat pm shemeji yangu ni mstaarabu tumezoeana pm hakuna kunisumbua kuomba pic wala nini siku ya siku anataka tuonane hapo sijui anafananaje wala hajui shunie anafananaje
Nikaenda eneo la tukio nipo na rafiki yangu mmoja nikamuwahi nimekaa naangalia mlango akaniambia nipo na rafiki yangu basi kila wakiingia watu wawili naangalia mara wameingia vizee viwili nikaifunika simu yangu nikasema kama ndio yeye atapiga akome [emoji3] sipokei
Bada ya mda wakaingia wakaka wa makamo moja kwa moja alikuja kwenye meza yetu shunie shemeji yangu mm wala sikutag unajijua popote ulipo mtu ambaye sijutii kukufahamu jf Mungu azidi kukuweka tu na mautundu yako [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Inaelekea umepitia mengi sana huko PMAhaha hiyo kabla sijafunga pm Rrondo
Nimekukumbusha wapi hukoHilo neno umenikumbusha mbali...
Nimependa jibu lako mkuuTujaribu kuchangia mada kulingana na majukwaa mkuu itapendeza zaidi......
Naamini ulitegwa wewe kabla iweje hakufaham halafu aje ulipo?Ahahha kuna shemeji yangu mmoja yupo humu tunaitana shemeji wenyewe tupo kama ndugu sasa hivi
Tulikua tunachat pm shemeji yangu ni mstaarabu tumezoeana pm hakuna kunisumbua kuomba pic wala nini siku ya siku anataka tuonane hapo sijui anafananaje wala hajui shunie anafananaje
Nikaenda eneo la tukio nipo na rafiki yangu mmoja nikamuwahi nimekaa naangalia mlango akaniambia nipo na rafiki yangu basi kila wakiingia watu wawili naangalia mara wameingia vizee viwili nikaifunika simu yangu nikasema kama ndio yeye atapiga akome [emoji3] sipokei
Bada ya mda wakaingia wakaka wa makamo moja kwa moja alikuja kwenye meza yetu shunie shemeji yangu mm wala sikutag unajijua popote ulipo mtu ambaye sijutii kukufahamu jf Mungu azidi kukuweka tu na mautundu yako [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Hapana aisee sio kwa mababu wale na miwani yao
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mwingine huyo ha ha haaa
Yaonekana sio msumbufu wewe
Kwa wale wanaopenda haraka kutaka pic yako kukujua tunawatumia za kudownload za instaInaelekea umepitia mengi sana huko PM
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ahhhaha mwenyewe nilimwambia alicheka sana akaniambia kwahiyo ningekuwa wale vibabu ndio ungenikimbia nikamwambia yaan nilivyoona wameshika simu wanapiga nikajua ndio wewe nimefunika simu yangu ingeita ningeizima kabisa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahaha wewe kiboko aisee,ndiyo maana PM naogopa.Kwa wale wanaopenda haraka kutaka pic yako kukujua tunawatumia za kudownload za insta
hHsia zake zilimtuma hivyo na hiyo sehemu tulipanga tukutane me na yeye ila me nilimuwahi kabla yake nilicheza na akili yake manga nilikua nampigia simu kila mara yupo barabarani kwahiyo nilikua najua ninachofanyaNaamini ulitegwa wewe kabla iweje hakufaham halafu aje ulipo?
Aweeee. Niko tayari mr. UberWeke end hii ntakua uber wako hii ni fulsa kwangu
Hoja amekujuaje?[emoji3][emoji3][emoji3] yaan alijua anachokifanya moja kwa moja kaja kwenye meza yetu ananiambia shunie basi akanihug tukaanza kupiga moja moto moja baridi story yaan naishukuru jf kwakweli imenipa watu wema sana