Tuliowahi kuwasumbua mademu PM tukutane hapa

Tuliowahi kuwasumbua mademu PM tukutane hapa

Masharti hayo ya kishetani sitaki.
shetani unamjua?
hivi unajua tu hata kutamani kitu ambacho huna ni dhambi na ni mawazo ya kishetani?
nitafute tena tu review maongezi yetu manake najua kuna point unai miss
 
Hahahhaha poleeee, mie sina hamu na PM

Ilishanifanya nikakesha hadi kunakucha. .....

Ilishanifanya nikashinda njaa kutwa nzima.....

Ilishanifanya nikachelewa mahali.....

Sina hamu na PM....

Ngoja waje walionisababishia yote haya kama watajitaja. Tatizo langu ni kuwa napenda sana kuongea siwezi kuacha kuongea.
Mimi hapa kwako nikilipigana sana
 
Back
Top Bottom