Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usijali best. Asubuhi njema.sawa best yaishe.
Haa haa inna anajuta hukoacha umbea we nyau.
kwema lakini ndugu yangu
shetani unamjua?Masharti hayo ya kishetani sitaki.
6.7924° S, 39.2083° E nimewasha gpsNipe location nijilete unifiche
Nakuja pm kukufundisha matumizingoja nijifunze, niliwai kutumia ila siielewi elewi....sometimes nakuta msg ya mtu imetumwa mda mrefu ila sikuiona wabadilishe huu mfumo aisee mm unanipa shida
too late , nishampa kibendi japo sijui kama ni cha kwanguHaa haa inna anajuta huko
Aliko nlimwambia mapema
Kwema kabsa mkuu
Za masku
Nimesha mfahamuNdio,binti mbichi hivi ana macho ya kurembua
Jolie Jolie ameshanikubaliaAiseee yan kama tunawaza
wote vle[emoji23] [emoji23]
Mimi hapa kwako nikilipigana sanaHahahhaha poleeee, mie sina hamu na PM
Ilishanifanya nikakesha hadi kunakucha. .....
Ilishanifanya nikashinda njaa kutwa nzima.....
Ilishanifanya nikachelewa mahali.....
Sina hamu na PM....
Ngoja waje walionisababishia yote haya kama watajitaja. Tatizo langu ni kuwa napenda sana kuongea siwezi kuacha kuongea.
Nipo,tupe taarifa yako ya pm!Poa kabisa rafiki yangu. Upo?
hahaaaUlinikataa kwakuwa sina msambwanda
Mmh![emoji20][emoji20][emoji20]Ndyo mkuu unajarbu kuweka tu
Mitego uone itakuaje[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Japo umenisusa sana jmn, kama nimekuudhi sema hapa hapa tu jmnNafurahi kukuona tena ukiwa mzima na bukheri wa afya.
Nyie watuMxxiee...mbona husemi ulivyonisumbua we nyau
Mie sijui hata kuitilumia hiyo makitu. Hivi mbatumiana kindugu? Napambana na hali yangu
kwa sababu ya avator yakoMimi nasumbuliwa na menzangu
Sasa anko nimwambieje tenaaliyekwambia dawa ya moto ni moto alikudanganya
wewe hutetei ila unatoboa jahazi
anko unayumba