mito
JF-Expert Member
- Jun 20, 2011
- 10,682
- 10,801
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji125] [emoji125]Mimi nilitongoza demu huku nikaja kukuta ni mtoto wa shangazi. Hizi id fake hizi ni hatari
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji125] [emoji125]Mimi nilitongoza demu huku nikaja kukuta ni mtoto wa shangazi. Hizi id fake hizi ni hatari
Hapo ndio wanaponichoshaUtadhani salamu zinaliwa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan ni hivyo hivyo umewapatiaSAA 3 asubuhi (mambo shunie)
saa 6 mchana(shunie niaje mzima)
SAA 8 mchana(daahh shunie mtoto cheupe wanitoa udenda ujue)
SAA 10 alasiri(shunie niambie)
saa12 jioni (shunie cheupe upo)
hahaa
sasa dawa yake mpige mzinga ..harudi tena ..akirudi basii jiandae kuanzishiwa Uzi ..mademu wa Jf wanapnda Pesa mnoooo
Basi zilikuwa tamu, la sivyo usingesahauHahahhaahah kitambo sana,nshasahauu[emoji23] [emoji23] [emoji85]
Sina nipo flatscreenUna msambwanda [emoji23] [emoji23]
Asante sijawahi kunywa hiyoUyo mguno nimeupenda agiza plisner 2 nitalipa
Unapendeleaga kunywa nini?Asante sijawahi kunywa hiyo
Heinken ya baridiUnapendeleaga kunywa nini?
Saaaana,hebu ukuje tena[emoji85]Basi zilikuwa tamu, la sivyo usingesahau
Duh!Heinken ya baridi
Mmmh, karibu kwangu[emoji23]Saaaana,hebu ukuje tena[emoji85]
Mshangao huo vipi tena bestDuh!
HahahaMbona unajiquote mwenyewe mkuu
Nilifikili utasema fanta passionMshangao huo vipi tena best
Tatizo ID yako mkuuKila ninayemfuata PM ananipiga kibuti, poor me
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Hahahhahahaa uwiii nimecheeeeka kwa sauti,et hapana chezea mbunye ya mzigua90 a.ka. mwanaid mtoto wa bujibuji.[emoji3][emoji3][emoji3][emoji23][emoji23][emoji23]inatema harufu kama panya[emoji23][emoji23][emoji23]aaaaai hakika umenchekesha
Ule msisitizo uloniwekea kuhusu ile kitu hapana. Acha nife na tai shingoni ila ile NOshetani unamjua?
hivi unajua tu hata kutamani kitu ambacho huna ni dhambi na ni mawazo ya kishetani?
nitafute tena tu review maongezi yetu manake najua kuna point unai miss