Tuliowai kupata Supplemental kwenye final exam za UE/IE tukutane hapa

hahahahahaa komaeni madogo
hiyo sijuhi HYM ndiyo wale wenye kijituo chao pale maeneo ya canteen?
Yes wazee wa Hali ya hewa..degree zake zikianzishwa nasikia tutapewa lile jengo la ghorofa lilikuwa liwe wizara ya maji kwa sababu wizara imeenda DOM.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
MKUU hii chai ya wapi?
Mkuu sijakushika masikio kwenye mahafali ya mwaka Jana alikuja naibu waziri wa maji akatuhakikishia lile jengo litakuwa la chuo Cha maji.[emoji16][emoji16][emoji16] Mkuu SI unajua lakini maana ya siasa kwa hiyo tegemea lolote Kama ni kweli au tulishikwa kamba
 
Ilikua mwaka wa kwanza...

Kozi ilikua ENGINEERING MECHANICS (STATICS). daah kwa mara ya kwanza napata sup... Iliniuma sana!!

Baada ya kuenda "september conference" nikashangaa madude nayaelewa kweli kweli... Daah... Ikafika kipindi nikawa naomba ningekua na sup mbili... [emoji23]

Sup ilinisaidia sana kuisoma kwa undani hii kozi ya mechanics maana mpaka namaliza sup nilikua mtabe wa mechanics na ilinisaidia sana mwaka wa pili kwenye STRENGTH OF MATERIALS na mwaka wa tatu kwenye STRUCTURAL DESIGN...

Kwa msuli wa sup ukanifanya niwe "mshika pen kwenye discussion" hasa mwaka wa pili!!

Niliumia sana nilipopata sup ila nilifurahi sana nliporudi kuichomoa... Tulikua kama nusu ya darasa yani it was fun!!
 
Mkuu sijakuelewa hapo kwenye tamrini (cousrework ) Yaan Ulipata 34 out of 40 Halafu Ue ikawa na marks 100 Yaan maswali 5@20 sasa ukijumlisha Na zile 40 mbona marks zinazidi. MSAADA
UE inakuwaga na marks 60 .
Hizo marks ambazo utazipata zinawekwa chini ya 100 then unazidisha kwa 60 .
 
Nilipata Supp kwa demu wangu wa VETA nikachomoa chaaa nikalamba demu wa UDSM
 
Asee watu mmesoma kwa raha yaan semister 1 masomo 6?? Sie semister ikiwa na masomo machache ni 9 tena hio semister inakuwa ya bata hatari bt mostly semister ilikuwa na modules 12 mpka 13 so kwa mwaka ni modules 24 &26 kwhyo kukuta watu wana sup zaidi ya 10 ilokuwa kawaida sana... shkamoo wana DIT alumn
 

πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚ndio maisha mkuu yalivyo.... kuna wadau wanapiga must, pale kuna kozi mwaka wa pili wana module 33,semester ya kwanza 15 na ya pili 18 ,
ukijichanganya tu hapo unajikuta nje ya mstari......
 
Mkuu sijakuelewa hapo kwenye tamrini (cousrework ) Yaan Ulipata 34 out of 40 Halafu Ue ikawa na marks 100 Yaan maswali 5@20 sasa ukijumlisha Na zile 40 mbona marks zinazidi. MSAADA
Mkuu ulisoma hesabu kidogo?
 


Kirefu cha IE ni nini ? Na inakuwaje mnalipia supp ?
 
CBE ilikuwa hata ukiwa na CW 39 na UE less than 24 unapata Tech Failure ambayo ni sawa na Supp mnakutana SeptConf!. Yanawezekana sana hayo!.
Labda kama wamebadili!.


Hivi hiyo SeptConf iko CBE tu au na vyuo vingine ?
 
Chuo gani hicho mkuu? CBE ama TEKU? naomba ukitaje nisije nikamruhusu mwanangu kukisoma.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…