Tuliozaa nje ya ndoa tukutane hapa, tujadili changamoto tunazokutana nazo

Jitahidi mali ya bi mkubwa iwe yake na familia yake. Hao wengine wape mali zao au jenga moja kwa ajili yao na uandike.
Tàtizo nu hawa wanaume wanaooa hawa wanawake tuliozaa nao. Kuna mmoja kapiga marufuku mawasiliano na mzazi mwenzangu anadai anahudumia mama na mtoto. Sasa mawasiliano hadi aende kazini. Mliooa single maza mjue tunawasiliana nao hata kama umekataza.
 
Mm ninao wanne , watatu ni halali kabisa ila wanne mama yake mwaka jana kaniambia tukapime DNA maana wakati anabeba mimba alichanganya wanaume namm nikiwemo kwenye ule mchanganyiko kwahiyo nina safar mwezi wa tatu tukapime
 
Hakuna asiyependa kuwa na watoto
Hii dunia kanuni zake mkuu, na ukiishi kwa hizo kanuni hakuna tatizo shida inakuja watu wanaongozwa na hisia zaid. Huwez kumzalisha mtoto wa mtu ahalafu uone ni sawa kisa wanataka wenyewe. Lazima uwe na kiasi. Ukitaka familia imara generation iliyonyooka. Lazima wakati mwingine tujifunze kuacha ubinafsi. Hao watoto kawaida wanalishwa sumu tofauti tofauti kulingna na mama zao. Wakikua watu wazima hawataelewana tena. Na ndio dunia unairabu. Huku wamama umewafanya wazinzi kule kizazi cha chuki. Hayo yote ya nini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…