Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
- Thread starter
- #201
Tatizo ni namna ya kuwapa mikate 😀hongera bro! unawakilisha. namimi nina ndoto kama hiyo ya kuwa na watoto wasiopungua 12 kama wale wanafunzi wa Yesu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo ni namna ya kuwapa mikate 😀hongera bro! unawakilisha. namimi nina ndoto kama hiyo ya kuwa na watoto wasiopungua 12 kama wale wanafunzi wa Yesu.
Basi hakikisha kila mmoja unamjengea mazingira mazuri kwa siku zijazo.Ukianza kuwaweka pamoja sasa hivi, uchague ndoa yako ivunjike au ukaribishe migogoro isiyokuwa ya lazima.
Hata waolewe mia kwa kila mmoja hawaishi chief. La muhim kuwa na displin, sisi ni viumbe tuliokutana katika safar hii nyakat hiz tutapita so along the way usiwawekee miiba wenzio njian. Lazima tuwe na kiasi na uwezo wa kudhibiti hisia zetu.Kwa takwimu zilizopo, wanawake ni wengi kuliko wanaume, na wanaume wanazidi kupungua siku hadi siku kutokana na kukimbilia michezo ya wanawake; mwisho wa siku dada zetu wanakosa watu wa kuwapa ujauzito.
Ndugu wanaweza kuvujisha siriWatambulishe watoto kwa ndugu zako usiwafiche kama bangi
Trump kajitoa WHO.Kupata huduma ya tendo iwapo mmoja wapo ataamua kuzingua.
Wasipokuwa na mwelekeo ni laana?Watoto ni baraka, hasa wakifikisha miaka 20+ na wakawa na mwelekeo.
Ni wawili wapo mjini hapa wananihangaisha kichwa.Watafutie pori walime na kufuga; maisha ni haya haya
Ukiacha huyo wa 2015, hao wengine wote nimekutana nao baada ya kuoa.Sasa huyo bikra kwanini hujamwoa mkuu! mi nikikutana na bikra, naoa.
Atarejesha huduma hivi karibuniTrump kajitoa WHO.
Hili ndilo la muhimuBasi hakikisha kila mmoja unamjengea mazingira mazuri kwa siku zijazo.
Hapa mtaani kuna wamama wanatafuta watu wa kuzaa naoHata waolewe mia kwa kila mmoja hawaishi chief. La muhim kuwa na displin, sisi ni viumbe tuliokutana katika safar hii nyakat hiz tutapita so along the way usiwawekee miiba wenzio njian. Lazima tuwe na kiasi na uwezo wa kudhibiti hisia zetu.
Tunafidia wanajeshi waliofia vitani; ukraine/urusi/Israel/Gaza/ congo n.kMjadiliane matunda yenu ya uzinzi 😥
Dunia inatakiwa ijae watuUmetisha sana 😀 😀