Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umechangia kuiharibu dunia chief. Hao wote baada ya kuwazalisha umewafanya wazinzi ni vigumu kuolewa.Hapana, kwa sababu ata wao wanafurahi kuwa na uzao wangu
Mke wangu anajua. Kuna consequences nimeziface hadi nimegeuka mhubiri wa kujustify matendo yangu humu ndani.Mkeo anajua?
1. Mmoja nilianza nae kabla hajaolewa, ila alikua na mshkaji. Huku na huku akapata mimba. Tukawaza tufanyeje akaniambia anaenda kumuambia jamaa kua ni yake. Jamaa kuambiwa akatangaza ndoa fasta mpaka leo wapo wote.Ulianzishaje mahusiano na hao wamama tupe experience!!?
Je hao wamama ni wazuri? Wana mvuto?
Aisee,na nyumbani unao wangap?1. Mmoja nilianza nae kabla hajaolewa, ila alikua na mshkaji. Huku na huku akapata mimba. Tukawaza tufanyeje akaniambia anaenda kumuambia jamaa kua ni yake. Jamaa kuambiwa akatangaza ndoa fasta mpaka leo wapo wote.
2. Huyu wapili alikua kweye ndoa tayari, ila alikua hajapata mtoto. Huku na huku tukaanza kubanjuka kitu kikanasa. Akaniambia huyu mtoto ni wa mume wangu nisije kukusikia unadai. Nikamuambia poa.
3. Watatu alikua ndani ya ndoa tayari ana mtoto 1. Huku na huku jamaa yake akamzingua wakawa wametengana. Mimi huyu hapa. Alipopata mimba akafanya juu chini kurudi kwa jamaa na kumbambikia. Mpaka leo wapo wote wanalea.
4. Huyu ambae nahudumia yeye alikua mwanafunzi wa chuo, tukaanza mahusiano na nilimkuta bikra. Huku na huku mimba. Kwa sasa yuko nyumbani.
5. Nilimsahau mmoja wa zamani kidogo 2015 huyo nilimtia mimba akiwa mwanafunzi wa form 4. Kwa bahati hakugundulika hadi akafanya mitihani. Nilikuja kuhama ule mkoa na sijawahi kumsikia tena wala sijui kilichoendelea.
2Aisee,na nyumbani unao wangap?
Hatari sana. Mi ninao nje wawili,nkawa najiona muhalifu mnoo. Kumbe wadau ni wengi kuzidi mimi kwa mujibu wa comments nilizo pitia hapa
We ni mhalifu mkuu. Mimi nje ninae mmoja tu (huyo nnaehudumia) hao wengine si wapo kwa "baba" zao? 😀Hatari sana. Mi ninao nje wawili,nkawa najiona muhalifu mnoo. Kumbe wadau ni wengi kuzidi mimi kwa mujibu wa comments nilizo pitia hapa
Lakini haiondoi kuwa ni damu zako mkuu.😀We ni mhalifu mkuu. Mimi nje ninae mmoja tu (huyo nnaehudumia) hao wengine si wapo kwa "baba" zao? 😀
Jitahidi pia kupima dna watoto wako wakiwa wachanga ili kuhakikisha hakuna watoto wa nje ya ndoa kwenye familia yako.Katika kitu nilikikataa ni kuzaa nje ya mke wangu, na siji kufanya jambo hilo, kwakuwa haliji bahati mbaya bali unakuwa umelipanga, maana hapo haujatoa sababu maana zaidi ya ulafi kama ulivyosema, na ulafi sio tabia nzuri, hata kwa watoto tunawakataza kuwa tabia nzuri
Kweli kabisa, mimi ninao wànne ila anajua mmoja tuu!Ila wanaume tumebeba siri nyingi mnoo,wake zetu wakija kujua hapata tosha aisee
Nimeandika nikafuta, nikaandika tena nikafuta. Na bora alikuringia hivyo hivyo, maombi yangu ni makali sana. Shaurilo.Kuna kipindi nilidhamiria kuwa na mtoto/watoto nje ya ndoa. Yule mwanamke anaringa sana, hata sasa nadhani bado anaringa sana. Nilivyoona mambo yatakuwa mengi nikaahirisha hadi leo wazo langu limekufa na halifufuki tena.
My love Atoto umeshalala?
Hahaa,hatari sana mkuu. Vip wote umewapata ukiwa kwenye ndoa?Kweli kabisa, mimi ninao wànne ila anajua mmoja tuu!
Ila kama mkeo nae ana watoto waangalie vizuri huenda nae ana siri moyoni.
Ndio maana mnakufa kufa hovyo, kumbe vifo mnavitafuta wenyewe, then mnaanza laumu wasiohusika!Ila wanaume tumebeba siri nyingi mnoo,wake zetu wakija kujua hapata tosha aisee
Ni kujipa tabu na shida za bure mkuu, mwanamke asiyemwaminifu anajulikana na aliyemwaminifu anajulikana tu, shida huwa tunakaza fuvu ukishaona dalili ya mambo yasiyofaa huwa tunajipa moyo kuwa hawez kufanya hivi, ukishaona dalili kwamba kuna mambo hayaend sawa chukua hatua mapemamJitahidi pia kupima dna watoto wako wakiwa wachanga ili kuhakikisha hakuna watoto wa nje ya ndoa kwenye familia yako.
Utaanzaje kumwambia? au tutamsingizia shetani?Kwa sasa hawajuani, na hata hao wamama hawajuani; Mungu akijalia,miaka 10 mbele watajuana.
Nikiarakisha kwa sasa, italeta matatizo.
Unaeza kuta ndio mskaji wako.Looh😳😳