Tuliozaa nje ya ndoa tukutane hapa, tujadili changamoto tunazokutana nazo

Tuliozaa nje ya ndoa tukutane hapa, tujadili changamoto tunazokutana nazo

Mkuu nimechelewa sana kuja kukupongeza KWANZA HONGERA SANA Wewe ndo umekuwa role model wangu hapa jf.
Mimi kabla sijaoa nilitest mitambo na mjita mmoja mrefu mweusi na ilikuwa ya motoo nikaona hapa bila mtoto ni kazi mara imoo.

Baada ya kuoa wife nilimwambia kuwa nina mtoto nje hivyo akubali akatae ndo hivyo tena hana namna.

Nimekaa kwenye ndoa na wife mara kuna mtoto akautaka tena imoo.Hii nikaapia wife hatakaa ajue kama atajua ni mbele kwa mbele tu huko!

Baada ya mwaka mpya nimetafutwa tena nilienda mashambani huko kijijni kulima akajilengesha mtoto wa mtu tena imoo. Sasa nikaambiwa nihudumie otherwise yule binti aletwe kwangu na mimba ina miezi 7 hadi.N hii nimeapa tena kwa mbingu na nchi wife simwambii atajua mbele kwa mbele huku anaisoma no.

NB;MWANAUME BILA MTOTO NJE YA NDOA NI SAWA NA SERIKALI BILA UPINZANI.
Mara paaap,.huyo mtoto ulozaa na mkeo nae ni wa chalii flan hivi hapo kitaa...nayeye anasema mpaka mbingu zishuke hutojua...😂😂
 
Umesahau kusema watoto wengine wapo kwenye ndoa za mama zao. Ile ya kitanda hakizai haramu
 
Katika ujana wangu, nilikuwa mlafi sana; nilikuwa nikiona tu pisi kali inayoshawishi na kuuteka moyo wangu, nitaanzisha naye mahusiano na hatimaye tunajikuta tayari tuna mtoto; ingawa tangu mwanzoni huwa nawaambia mimi ni mme wa mtu,lakini wao hawajali.

Hii imenipelekea kuwa na watoto 6 nje, kila mmoja na mama yake; wapo walimbwende walionizidi urefu, wengine wana viuno vya nyugwi (umbo namba 8) n.k;

Kutokana na uzuri wao, nilikuwa natumia gharama kubwa angalau niweke alama ya mtoto, ili huko mbeleni iwe rahisi kupasha kiporo pale ninapohitaji.

Changamoto ninazokutana nazo:-​
  • Hawa wazazi kutaka tuendelee kula bata kama nilipokuwa kijana, wakati sasa na uzee wangu huu majukumu yameniandama na kuamua kupunguza baadhi ya starehe. Hii imepelekea wengine kuvunja mawasiliano na mimi; ingawa najua huko mbeleni watoto wakikua watanitafuta.​
  • Wengine wanataka wapindue ndoa ili wao watambulike kama mke, bahati nzuri hilo nimeweza kulidhibiti (hapa nimeweza kuwazidi wavamizi wa M23).​
  • Wengine kuzidisha bili kwenye mahitaji ya mtoto, lakini hili pia nimeweza kulidhibiti.​

Mafanikio:-​
  • Bi mkubwa hajui kama nina watoto nje; na hii nataka iwe siri mpaka hao watoto wote wawe sekondari nasi tukiwa kwenye umri wa busara ndio tuweze kuzungumza.​
  • Nategemea huko mbeleni nikiwa mzee sana, nitakuwa nimezungukwa na vijana wangu wasiopungua 11.​
  • Kupata huduma ya tendo iwapo mmoja wapo ataamua kuzingua.​

Karibuni kwa uzoefu​
Chukulia hao wanawake wangekuwa ni uwekezaji umefanya, halafu geuza story yako yote ikae kwenye mfumo huu halafu utupe majibu
 
Kuna kipindi nilidhamiria kuwa na mtoto/watoto nje ya ndoa. Yule mwanamke anaringa sana, hata sasa nadhani bado anaringa sana. Nilivyoona mambo yatakuwa mengi nikaahirisha hadi leo wazo langu limekufa na halifufuki tena.

My love Atoto umeshalala?
 
Kuzaa ni baraka, nawashanga na namshngaa mleta uzi, eti kuzaa nje ya ndoa! Unamfahamu Suleman wa Biblia? Unamfahamu uzao wa Yuda, unayosikia mfalme wa Yuda, kizazi cha Yesu mwenyewe, kwa ulokole wenu, mnaweza sema ni dhambi tupu! Hakuna dhambi kwenye kuzaa! Zaa tunza watoto.

Unachokosea ni kutowaunganisha watoto wajuane wakiwa wadogo! Wachangamane! Bila hivyo huko mbeleni, linaweza kukufadhaisha sana.
 
Katika ujana wangu, nilikuwa mlafi sana; nilikuwa nikiona tu pisi kali inayoshawishi na kuuteka moyo wangu, nitaanzisha naye mahusiano na hatimaye tunajikuta tayari tuna mtoto; ingawa tangu mwanzoni huwa nawaambia mimi ni mme wa mtu,lakini wao hawajali.

Hii imenipelekea kuwa na watoto 6 nje, kila mmoja na mama yake; wapo walimbwende walionizidi urefu, wengine wana viuno vya nyugwi (umbo namba 8) n.k;

Kutokana na uzuri wao, nilikuwa natumia gharama kubwa angalau niweke alama ya mtoto, ili huko mbeleni iwe rahisi kupasha kiporo pale ninapohitaji.

Changamoto ninazokutana nazo:-​
  • Hawa wazazi kutaka tuendelee kula bata kama nilipokuwa kijana, wakati sasa na uzee wangu huu majukumu yameniandama na kuamua kupunguza baadhi ya starehe. Hii imepelekea wengine kuvunja mawasiliano na mimi; ingawa najua huko mbeleni watoto wakikua watanitafuta.​
  • Wengine wanataka wapindue ndoa ili wao watambulike kama mke, bahati nzuri hilo nimeweza kulidhibiti (hapa nimeweza kuwazidi wavamizi wa M23).​
  • Wengine kuzidisha bili kwenye mahitaji ya mtoto, lakini hili pia nimeweza kulidhibiti.​

Mafanikio:-​
  • Bi mkubwa hajui kama nina watoto nje; na hii nataka iwe siri mpaka hao watoto wote wawe sekondari nasi tukiwa kwenye umri wa busara ndio tuweze kuzungumza.​
  • Nategemea huko mbeleni nikiwa mzee sana, nitakuwa nimezungukwa na vijana wangu wasiopungua 11.​
  • Kupata huduma ya tendo iwapo mmoja wapo ataamua kuzingua.​

Karibuni kwa uzoefu​
Bado logic ya kumficha mkeo siioni.
Ujue nini mkuu, hao watoto ni damu yako, sasa unapoficha ficha ni kwamba unamgwaya mkeo atakutenga?
Hatuna mwamana na Sir god kuhusu kifo.
Likitokea hilo huwaga kuna fujo sana kwenye misiba ya washikaji, ama hao watoto kutotambuliwa kuwa ni wa kwako. Jitahidi sana kiongozi.
 
Back
Top Bottom