Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
- Thread starter
- #81
Hapana, kwa sababu ata wao wanafurahi kuwa na uzao wanguUliwah kujutia labda kwa kuwaharibia maintenance za watu future zao?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana, kwa sababu ata wao wanafurahi kuwa na uzao wanguUliwah kujutia labda kwa kuwaharibia maintenance za watu future zao?
Wachache tu, wako mashuleni.Wa ndani ya ndoa na mkeo unao wangapi?
Linaathiri uchumiHii si jambo la kujivunia..
Ilibidi nirudi ninoti unajiitaje humunilikuwa natumia gharama kubwa angalau niweke alama ya mtoto, ili huko mbeleni iwe rahisi kupasha kiporo pale ninapohitaji.
Roho mbaya sana weweBi mkubwa hajui kama nina watoto nje; na hii nataka iwe siri mpaka hao watoto wote wawe sekondari nasi tukiwa kwenye umri wa busara ndio tuweze kuzungumza.
Fyatua baba fyatuaa fainali uzeeni Mimi wangu watatu nlopewa Inshalaah wananitosha hayo Mayai mengine ntakaangia viepe na chapati za majiKatika ujana wangu, nilikuwa mlafi sana; nilikuwa nikiona tu pisi kali inayoshawishi na kuuteka moyo wangu, nitaanzisha naye mahusiano na hatimaye tunajikuta tayari tuna mtoto; ingawa tangu mwanzoni huwa nawaambia mimi ni mme wa mtu,lakini wao hawajali.
Hii imenipelekea kuwa na watoto 6 nje, kila mmoja na mama yake; wapo walimbwende walionizidi urefu, wengine wana viuno vya nyugwi (umbo namba 8) n.k;
Kutokana na uzuri wao, nilikuwa natumia gharama kubwa angalau niweke alama ya mtoto, ili huko mbeleni iwe rahisi kupasha kiporo pale ninapohitaji.
Changamoto ninazokutana nazo:-
Hawa wazazi kutaka tuendelee kula bata kama nilipokuwa kijana, wakati sasa na uzee wangu huu majukumu yameniandama na kuamua kupunguza baadhi ya starehe. Hii imepelekea wengine kuvunja mawasiliano na mimi; ingawa najua huko mbeleni watoto wakikua watanitafuta. Wengine wanataka wapindue ndoa ili wao watambulike kama mke, bahati nzuri hilo nimeweza kulidhibiti (hapa nimeweza kuwazidi wavamizi wa M23). Wengine kuzidisha bili kwenye mahitaji ya mtoto, lakini hili pia nimeweza kulidhibiti.
Mafanikio:-
Bi mkubwa hajui kama nina watoto nje; na hii nataka iwe siri mpaka hao watoto wote wawe sekondari nasi tukiwa kwenye umri wa busara ndio tuweze kuzungumza. Nategemea huko mbeleni nikiwa mzee sana, nitakuwa nimezungukwa na vijana wangu wasiopungua 11. Kupata huduma ya tendo iwapo mmoja wapo ataamua kuzingua.
Karibuni kwa uzoefu
Fanya kadri uwezavyo angalau Wazazi wako wawajue hata kwa siri na uwaeleze hali halisi kuwa hutopenda mkeo na ndugu wa mkeo wajue kwasasa.Kwa sasa hawajuani, na hata hao wamama hawajuani; Mungu akijalia,miaka 10 mbele watajuana.
Nikiarakisha kwa sasa, italeta matatizo.
Mfano wote tukiwa na miaka 70+, ataniachaje achaje?Ilibidi nirudi ninoti unajiitaje humu
Roho mbaya sana wewe
Umuumize akiwa umri huo!!!!
Itavuja tu akuache.. Zen utazeeka na hao hao wa nje.
Tatizo hata aibu hauna.. Shame
Na duniani tunaishi mara moja, kwa hiyo ni vizuri kuacha uzao utakao kukumbukaMmh mm ngoja nipite...Ila kuna kanuni moja tuwe nayo Dunia ina mambo mengi yatapita ila hakikisha yanakupita ya maana zaidi kuliko yasiyoyamaana
Watoto ni barakaUnaona raha
Usitilie maanani nyuzi zake....anakujaga kuchangansha genge hukuIlibidi nirudi ninoti unajiitaje humu
Roho mbaya sana wewe
Umuumize akiwa umri huo!!!!
Itavuja tu akuache.. Zen utazeeka na hao hao wa nje.
Tatizo hata aibu hauna.. Shame
Hao watatu watakutelekeza, hawatakuletea wajukuuFyatua baba fyatuaa fainali uzeeni Mimi wangu watatu nlopewa Inshalaah wananitosha hayo Mayai mengine ntakaangia viepe na chapati za maji
Wanaweza kushindwa kutunza siri, na baadaye ikawa shidaFanya kadri uwezavyo angalau Wazazi wako wawajue hata kwa siri na uwaeleze hali halisi kuwa hutopenda mkeo na ndugu wa mkeo wajue kwasasa.
Binadamu tunapanga baada ya miaka 10 ndo ulipue bomu ila je, vp kama Mungu hana mpango wa kukufikisha hyo miaka 10?... Huoni kama italeta ugomvi kabla hata mazishi hayajaisha?, (joke)
Ila jitahd mchukue hata mshua ako nenda nae kma kusalimia kwa hao wazazi wenzako ili awe shahidi wa kuwasemea Watoto wako hao siku ukizima bila kutarajia (hatuombei).
Naomba kuwasilisha.
Unao wangapi?Usitilie maanani nyuzi zake....anakujaga kuchangansha genge huku
Muachie, utafute wengineKiukweli mwanangu ameniachia laana ,kabla sijayajua mapenzi sikupitia changamoto kwenye utafutaji na nilipendwa na kila mtu ,lakini leo hii kuna wanaonichukia kwa sababu zao binafsi ni wengi sana .
Mwanamke niliezaa nae ananiambia kamwe sitampata huyo mtoto 😭😭