Mother Confessor
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 18,677
- 45,532
Hivi kuna familia kabisaaaa iko baba mmoja mama mmoja na watoto wao tuu?? Yaani hakuna mambo ya nazi na nyanya kukutanishwa gengeni??
Duh!!!
Duh!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
1000 dear...vipi mahi wangu wafanya sensa ya watu na makazi?Unao wangapi?
Watu wa aina yako huwa mnaoa ili iweje?
Hatari sana😀yani kina brother angu daa huyu jamaa katika ukoo amewakilisha vyema sana watoo naowfahamu mimi 10 mmoja amezaa na mke wa mtu juzi tu
Kama ipo, kuna sababu za kiafya, kiuchumi, kimaumbile n.kHivi kuna familia kabisaaaa iko baba mmoja mama mmoja na watoto wao tuu?? Yaani hakuna mambo ya nazi na nyanya kukutanishwa gengeni??
Duh!!!
Fanya uchunguzi kwa vipimo, inawezekana tatizo likawa kwako au kwa mwenzako; inaweza kutibika.Hivi mnafanyaje mnapata watoto Mimi napambana nasipati kitu miaka 46 sasa nimekata tamaa
Ningekuwa sijafunga kurasa, tungeongea jambo.1000 dear...vipi mahi wangu wafanya sensa ya watu na makazi?
Aisee!!! Ndo basi tenaaa....ileeeeeeeKama ipo, kuna sababu za kiafya, kiuchumi, kimaumbile n.k
Kwenye ndoa, wanaoteseka uzeeni ni wanaume.Aisee!!! Ndo basi tenaaa....ileeeeeee
Kwanini???Kwenye ndoa, wanaoteseka uzeeni ni wanaume.
Single Maza 11 mungu anakuona na anakusubir Kwa adhabu Kali ,[emoji51]
Kwa maisha ya kimjini mjini; wazee wanavumilia mengi, mama anakumbatia watoto; baba anabaki kama huyuKwanini???
Ila babu yangu mpaka anafariki hatukuwahi kusikia kuna jina la nje,na alipata na bibi watoto 8
Ndio uzae nje kama simbilisi? Una tabu.Na kutulia kwenye ndoa, kuna changamoto za kunyimwa tendo, kugongewa, kununa nuna n.k usipokuwa makini, mnaweza kuuana.
Mwanaume anayemtegemea mwanamke mmoja, huwa wapo kwenye msongo wa mawazo.
Muhimu ni kukaa kimya tu, ikija kujulikana unajitetea ulikuwa hujui kama uliacha watoto huko kwingineko.Mkuu nimechelewa sana kuja kukupongeza KWANZA HONGERA SANA Wewe ndo umekuwa role model wangu hapa jf.
Mimi kabla sijaoa nilitest mitambo na mjita mmoja mrefu mweusi na ilikuwa ya motoo nikaona hapa bila mtoto ni kazi mara imoo.
Baada ya kuoa wife nilimwambia kuwa nina mtoto nje hivyo akubali akatae ndo hivyo tena hana namna.
Nimekaa kwenye ndoa na wife mara kuna mtoto akautaka tena imoo.Hii nikaapia wife hatakaa ajue kama atajua ni mbele kwa mbele tu huko!
Baada ya mwaka mpya nimetafutwa tena nilienda mashambani huko kijijni kulima akajilengesha mtoto wa mtu tena imoo. Sasa nikaambiwa nihudumie otherwise yule binti aletwe kwangu na mimba ina miezi 7 hadi.N hii nimeapa tena kwa mbingu na nchi wife simwambii atajua mbele kwa mbele huku anaisoma no.
NB;MWANAUME BILA MTOTO NJE YA NDOA NI SAWA NA SERIKALI BILA UPINZANI.
Dunia inatakiwa ijae watuNdio uzae nje kama simbilisi? Una tabu.
Sasa hivi kuna mwingine tena anasema anataka azae amekaa sana kusubiri kuolewa haoni sasa na pln huyu akijifungua huyu nae abebe mimba nyingine dhambi ni kukataa mtoto tu ila kama unakubali na iko wazi kitanda hakizai halamu ...twende kaziMuhimu ni kukaa kimya tu, ikija kujulikana unajitetea ulikuwa hujui kama uliacha watoto huko kwingineko.