Tuliozaa nje ya ndoa tukutane hapa, tujadili changamoto tunazokutana nazo

Tuliozaa nje ya ndoa tukutane hapa, tujadili changamoto tunazokutana nazo

Katika ujana wangu, nilikuwa mlafi sana; nilikuwa nikiona tu pisi kali inayoshawishi na kuuteka moyo wangu, nitaanzisha naye mahusiano na hatimaye tunajikuta tayari tuna mtoto; ingawa tangu mwanzoni huwa nawaambia mimi ni mme wa mtu,lakini wao hawajali.

Hii imenipelekea kuwa na watoto 6 nje, kila mmoja na mama yake; wapo walimbwende walionizidi urefu, wengine wana viuno vya nyugwi (umbo namba 8) n.k;

Kutokana na uzuri wao, nilikuwa natumia gharama kubwa angalau niweke alama ya mtoto, ili huko mbeleni iwe rahisi kupasha kiporo pale ninapohitaji.

Changamoto ninazokutana nazo:-​
  • Hawa wazazi kutaka tuendelee kula bata kama nilipokuwa kijana, wakati sasa na uzee wangu huu majukumu yameniandama na kuamua kupunguza baadhi ya starehe. Hii imepelekea wengine kuvunja mawasiliano na mimi; ingawa najua huko mbeleni watoto wakikua watanitafuta.​
  • Wengine wanataka wapindue ndoa ili wao watambulike kama mke, bahati nzuri hilo nimeweza kulidhibiti (hapa nimeweza kuwazidi wavamizi wa M23).​
  • Wengine kuzidisha bili kwenye mahitaji ya mtoto, lakini hili pia nimeweza kulidhibiti.​

Mafanikio:-​
  • Bi mkubwa hajui kama nina watoto nje; na hii nataka iwe siri mpaka hao watoto wote wawe sekondari nasi tukiwa kwenye umri wa busara ndio tuweze kuzungumza.​
  • Nategemea huko mbeleni nikiwa mzee sana, nitakuwa nimezungukwa na vijana wangu wasiopungua 11.​
  • Kupata huduma ya tendo iwapo mmoja wapo ataamua kuzingua.​

Karibuni kwa uzoefu​
Zinapoletwa nyuzi za single mothers wewe unakuwa upande gani? Nimekuchukia ghafla, halafu unajisifu mzinifu Kama mzinifu mwengine by Single Mother
 
Katika ujana wangu, nilikuwa mlafi sana; nilikuwa nikiona tu pisi kali inayoshawishi na kuuteka moyo wangu, nitaanzisha naye mahusiano na hatimaye tunajikuta tayari tuna mtoto; ingawa tangu mwanzoni huwa nawaambia mimi ni mme wa mtu,lakini wao hawajali.

Hii imenipelekea kuwa na watoto 6 nje, kila mmoja na mama yake; wapo walimbwende walionizidi urefu, wengine wana viuno vya nyugwi (umbo namba 8) n.k;

Kutokana na uzuri wao, nilikuwa natumia gharama kubwa angalau niweke alama ya mtoto, ili huko mbeleni iwe rahisi kupasha kiporo pale ninapohitaji.

Changamoto ninazokutana nazo:-​
  • Hawa wazazi kutaka tuendelee kula bata kama nilipokuwa kijana, wakati sasa na uzee wangu huu majukumu yameniandama na kuamua kupunguza baadhi ya starehe. Hii imepelekea wengine kuvunja mawasiliano na mimi; ingawa najua huko mbeleni watoto wakikua watanitafuta.​
  • Wengine wanataka wapindue ndoa ili wao watambulike kama mke, bahati nzuri hilo nimeweza kulidhibiti (hapa nimeweza kuwazidi wavamizi wa M23).​
  • Wengine kuzidisha bili kwenye mahitaji ya mtoto, lakini hili pia nimeweza kulidhibiti.​

Mafanikio:-​
  • Bi mkubwa hajui kama nina watoto nje; na hii nataka iwe siri mpaka hao watoto wote wawe sekondari nasi tukiwa kwenye umri wa busara ndio tuweze kuzungumza.​
  • Nategemea huko mbeleni nikiwa mzee sana, nitakuwa nimezungukwa na vijana wangu wasiopungua 11.​
  • Kupata huduma ya tendo iwapo mmoja wapo ataamua kuzingua.​

Karibuni kwa uzoefu​
Uliwah kujutia labda kwa kuwaharibia maintenance za watu future zao?
 
Back
Top Bottom