Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
- Thread starter
-
- #21
Sasa watoto wanajuana mkuu au mpaka ukifa ndo waanze kujitokeza๐๐๐
Watoto ni baraka, hasa wakifikisha miaka 20+ na wakawa na mwelekeo.Haijatokea tu mkuu maisha ni kuchagua
Correction "utaongeza matatizo" maana tayari ushayaleta ๐๐๐italeta matatizo
Wao wenyewe tu wanatokea kupenda mpaka wanachanganikiwaKwaiyo bro, wewe equation x ni kiwanda Cha kutengeneza single Mama.
Kwahiyo bado wapo kwenye EquationKwa sasa hawajuani, na hata hao wamama hawajuani; Mungu akijalia,miaka 10 mbele watajuana.
Nikiarakisha kwa sasa, italeta matatizo.
Tatizo ukiwaambia mimi ni mme wa mtu wanasema hakuna shida; wao walikuwa wanapenda swaga zangu tu ๐H
Hongera kijana, hao ma single mom wako hata wakiolewa bado huwa hawana uwezo wa kukataa kupasha kiporo na mzazi mwenzao.
Umewatia hasara sana wanaume 6 watakaooa hao single moms maana utawagongea sana.
Sio kidume, bali ilikuwa ni kushea upendo tu tuliopewa na muumba.Hongera kidume
Fafanua point ya kwanza kwenye mafanikio, kivipi ni mafanikio?
Binafsi nilizaa na Mwanamke wa Kibotswana miaka fulani nikiwa huko, watoto mapacha. Sijabahatika kwenda tena zaidi ya kuwasiliana na kutumiwa picha tu..
Hongera sana kijana ma X watamu sana aisee, unao 6 utafaidi sana kwa kweli.Tatizo ukiwaambia mimi ni mme wa mtu wanasema hakuna shida; wao walikuwa wanapenda swaga zangu tu ๐
Muhimu kupambana tu, tusiogope watoto; uzeeni watatupa kampani.HAKUNA KITU TUNAJIVUNIA KAMA MTOA UZI UMETUWAKILISHA MSHUA UNA MABAYA UNA PLANE KUBWA SANA ACHA MUNGU AKUBALIKI KWENYE MAFANIKIO ULIOTAFUTA
Hongera fisi mzee.Katika ujana wangu, nilikuwa mlafi sana; nilikuwa nikiona tu pisi kali inayoshawishi na kuuteka moyo wangu, nitaanzisha naye mahusiano na hatimaye tunajikuta tayari tuna mtoto; ingawa tangu mwanzoni huwa nawaambia mimi ni mme wa mtu,lakini wao hawajali.
Hii imenipelekea kuwa na watoto 6 nje, kila mmoja na mama yake; wapo walimbwende walionizidi urefu, wengine wana viuno vya nyugwi (umbo namba 8) n.k;
Kutokana na uzuri wao, nilikuwa natumia gharama kubwa angalau niweke alama ya mtoto, ili huko mbeleni iwe rahisi kupasha kiporo pale ninapohitaji.
Changamoto ninazokutana nazo:-
Hawa wazazi kutaka tuendelee kula bata kama nilipokuwa kijana, wakati sasa na uzee wangu huu majukumu yameniandama na kuamua kupunguza baadhi ya starehe. Hii imepelekea wengine kuvunja mawasiliano na mimi; ingawa najua huko mbeleni watoto wakikua watanitafuta. Wengine wanataka wapindue ndoa ili wao watambulike kama mke, bahati nzuri hilo nimeweza kulidhibiti (hapa nimeweza kuwazidi wavamizi wa M23). Wengine kuzidisha bili kwenye mahitaji ya mtoto, lakini hili pia nimeweza kulidhibiti.
Mafanikio:-
Bi mkubwa hajui kama nina watoto nje; na hii nataka iwe siri mpaka hao watoto wote wawe sekondari nasi tukiwa kwenye umri wa busara ndio tuweze kuzungumza. Nategemea huko mbeleni nikiwa mzee sana, nitakuwa nimezungukwa na vijana wangu wasiopungua 11. Kupata huduma ya tendo iwapo mmoja wapo ataamua kuzingua.
Karibuni kwa uzoefu
Hakuna matatizo mpaka sasaCorrection "utaongeza matatizo" maana tayari ushayaleta ๐๐๐
Pole ya nini sasa, wakati wana equation x JrPole Kwa Hao wanawake sita waliojichanganya!
Wanaendelea na maisha yao mengineKwahiyo bado wapo kwenye Equation
Wote waliosoma huu uzi, utakuwa unawahusu.Mliozaa nje za ndoa ๐ Ebu njooni mchangie mada yenu hapa!