Umelia? Wewe ni Me au Ke?Now 31 nimelia sanaaa usiku kucha
Mimi ni chizi vinandaUmelia? Wewe ni Me au Ke?
Mbona makasiriko tenah 😂 😂Hawa ndio walikuwa wanasema utakuwaje na miaka 30 huna ghorofà huna gari la 300m huna biashara kubwa kubwa au hujawa CEO au Waziri. Sasa akili zimewakaa sawa. Kuanzia hapa wanakuwa na busara sana. Wanageuka phylosophers.
AU sio 😂😂Uchawi upo..
..Ni Hayo Tu!!
Teh teh teh 😃 😃 noma sana hiki kizaziHawa ndio walikuwa wanasema utakuwaje na miaka 30 huna ghorofà huna gari la 300m huna biashara kubwa kubwa au hujawa CEO au Waziri. Sasa akili zimewakaa sawa. Kuanzia hapa wanakuwa na busara sana. Wanageuka phylosophers.
Niliwaambia mawazo yao kabla haeajafika 30yrs ni hayaHawa ndio walikuwa wanasema utakuwaje na miaka 30 huna ghorofà huna gari la 300m huna biashara kubwa kubwa au hujawa CEO au Waziri. Sasa akili zimewakaa sawa. Kuanzia hapa wanakuwa na busara sana. Wanageuka phylosophers.
Kwani wote mlizaliwa January mosi?Tuliozaliwa 1994 hatuamini kilichotokea usiku leo.😔😔