Mhandisi Mzalendo
JF-Expert Member
- Aug 23, 2010
- 6,682
- 11,461
Being young is a gift!"The older generation is in regret cause their kids are grown up poorly moraly - Ti"
if God really exist we near to his coming back,, note "if he exists "
Mkuu mbona umeniquote mimi?! Mimi nalea wajukuu zangu mkuu.kukaza vyuma hakuna uhusiano na kuoa...huko ni kutafuta kichaka tu cha kujificha...
ila acha kupanick muda bado, sio mbaya kama ni me ukio na 30's....ila kama ni ke ndo jua linazama hivyo!
Hahahaha,...holla holla....Being young is a gift!
Mimi nina miaka mitano ndani ya ndoa so najua tofauti ya mtu aliyeoa na asiyeoa.Nidhibitishie mkuu
Usinipanik chiefHio ni akili na tafsiri yako. Hauko kichwani kwangu na hujui nafikiria nini. Btw hii ni chitchat usipende kutafsiri post za watu unavyofikiria wewe.
Hongera mkuu basi usijali na sie tunakujaMimi nina miaka mitano ndani ya ndoa so najua tofauti ya mtu aliyeoa na asiyeoa.
Kwa uzoefu wangu ndan ya ndoa kuna faida za kuliko nje ya ndoa.
1985Sema tuu..
Yale yale unatoa assumptions kichwani kwako.Usinipanik chief
I am married to Mzigua90Btw when are you getting married amigo?
Mpo wangapi ?Pumbavu nyie watoto wadogo mnawaza kuolewa sisi wa earlier 80's ndio kwanza tunapiga mahesabu...
Acheni uzwazwa
Bossman habari aisee?Yale yale unatoa assumptions kichwani kwako.
Manza bay ehhh??? HongeraI am married to Mzigua90
Poa mkuuBossman habari aisee?
Never mind chiefYale yale unatoa assumptions kichwani kwako.
No worriesNever mind chief
Wewe nawe wa tisiniz?Duuh! Sijawahi kuweka huu upande Mangi lol.