uungwana classic
JF-Expert Member
- Jun 9, 2014
- 2,324
- 2,085
Umemjibu powa sana mkuuKweli mkuu,wote sasa tunaona huyu mbwa anavyotubwekea na kututishia meno wakati sisi ndiyo tuliomwokota na sisi ndio tunaomlisha! Mbwa ni mbwa tu mkuu,haijalishi rangi yake!