Tetesi: Tulipofikia sasa, ni RAIA yeyote wakati wowote unaweza kujikuta unamenyeka MAHABUSU au JELA !!

Tetesi: Tulipofikia sasa, ni RAIA yeyote wakati wowote unaweza kujikuta unamenyeka MAHABUSU au JELA !!

Kama una vitu vifuatavyo Tanzania, Jela inakuita muda wowote !

- Unamiliki Akaunti ya Social media yoyote.

- Una laini ya simu

- Unaongea ( Siyo bubu )

- Unazungumzia HAKI na UKANDAMIZAJI

- Una blog/YouTube Channel

- Mwanasiasa

- Mfanyabiashara

- Unahudhuria mikutano ya siasa hasa ya upinzani

- Unamiliki Media

- Mwandishi wa habari

- Una toa takwimu yoyote inayopingana na serikali

- Unatupa ovyo vocha ya kukwangua baada ya kuitumia

- Kununua simu kwa mtu !

- Kushirikiana na mwanasiasa hasa wa upinzani

Umesahau na nyingine ambayo ni ukithubutu tu kumuita mwenzako ' Kichaa ' basi ' Segadansi ' inakusubiri Kunakotukuka.
 
...Una mtoto wa nje
...una silaha yoyote panga, rungu, kombeo n.k
 
Vyote ulivyotaja vina terms of conditions,lete ujinga uone,uhuru uwajibikaji na mipaka ndo kitu muhimu,uki abuse lists uliyotaja lazima lazima uwajibike tu,hakuna namna,
Nilichokiona uvunjifu wa sheria kanuni na taratibu ulizoeleka sana ikaonekana ni halali,sasa sheria zina apply mnahisi kuonewa.
Mbwa ukizidisha nae mazoea atakufuata hadi msikitini
Alianza Nape akafuata Mwigulu , inayofuata ni zamu yako .

Shetani hana rafiki .
 
Vyote ulivyotaja vina terms of conditions,lete ujinga uone,uhuru uwajibikaji na mipaka ndo kitu muhimu,uki abuse lists uliyotaja lazima lazima uwajibike tu,hakuna namna,
Nilichokiona uvunjifu wa sheria kanuni na taratibu ulizoeleka sana ikaonekana ni halali,sasa sheria zina apply mnahisi kuonewa.
Mbwa ukizidisha nae mazoea atakufuata hadi msikitini

Ingekuwa sheria zinafuatwa bila macho hapo tungesema sawa. Lakini sio Makonda analeta macontainer, kisha anatunisha misuli halipi kwa mamlaka halali, kisha huyo msimamizi anayetaka tuamini anasimamia sheria anaongea kwa unyenyekevu si ulipe tu!! Hizo sheria zinatekelezwa ili kufunga watu midomo na wala hazitekelezwi kwa nia njema.
 
Hata kama mliwahi gombea demu na bwana yule Miaka 20 au 30 nyuma jela itakuhusu kwa Mzee wa visasi
 
Vyote ulivyotaja vina terms of conditions,lete ujinga uone,uhuru uwajibikaji na mipaka ndo kitu muhimu,uki abuse lists uliyotaja lazima lazima uwajibike tu,hakuna namna,
Nilichokiona uvunjifu wa sheria kanuni na taratibu ulizoeleka sana ikaonekana ni halali,sasa sheria znoina apply mnahisi kuonewa.
Mbwa ukizidisha nae mazoea atakufuata hadi msikitini
Mbwa ni nani? Yaani Watanzania unatuita mbwa?
Punguza ujuha wewe binti.
 
Tumechoka kutawaliwa kiustaarabu,dharau ilizidi kupita kiasi.
Sasa heshima imeanza kurudi nchini kwetu
 
Kabisa yaani mie siku hizi napanda langu daladala manake sitaki shida gari natoka nayo usiku tuu wakati wale mabwana washaondoka barabarani manake siku hizi wanashindana na watoza ushuru
Bas sawaa, ngoja niige
 
Mkuu, kila kitu kina athari kisipotumika kwa usahihi, hata simu ikitumika kwa uhalifu si unafungwa ila ikitumika kwa manufaa mengine nobody cares, account za social kila mara tunaona watu wanavyojipost uchi uchi tunaona kawaida tu ila sio kawaida ni ujinga so wakikamatwa wakaenda jela utasema umeonewa? Tufuate masharti na vigezo vinavyotakiwa kuzingatiwa afu uone km kuna mtu atakukamata.
 
Back
Top Bottom