eden kimario
JF-Expert Member
- Jun 13, 2015
- 10,356
- 16,379
Kabisa mkuu lakini hatutaacha kupaza sauti zetu kama wana magereza ya kutosha watuweke humo tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nahs damu ya ben SAA 8 bado inanuka IKULUAnayekula nyama ya mtu haachi - JK NYERERE
Kama tupo uhamishoni,kumbe ni nyumbani...hatari !Kama una vitu vifuatavyo Tanzania, Jela inakuita muda wowote !
- Unamiliki Akaunti ya Social media yoyote.
- Una laini ya simu
- Unaongea ( Siyo bubu )
- Unazungumzia HAKI na UKANDAMIZAJI
- Una blog/YouTube Channel
- Mwanasiasa
- Mfanyabiashara
- Unahudhuria mikutano ya siasa hasa ya upinzani
- Unamiliki Media
- Mwandishi wa habari
- Una toa takwimu yoyote inayopingana na serikali
- Unatupa ovyo vocha ya kukwangua baada ya kuitumia
- Kununua simu kwa mtu !
- Kushirikiana na mwanasiasa hasa wa upinzani