Tetesi: Tulipofikia sasa, ni RAIA yeyote wakati wowote unaweza kujikuta unamenyeka MAHABUSU au JELA !!


Umesahau na nyingine ambayo ni ukithubutu tu kumuita mwenzako ' Kichaa ' basi ' Segadansi ' inakusubiri Kunakotukuka.
 
...Una mtoto wa nje
...una silaha yoyote panga, rungu, kombeo n.k
 
Alianza Nape akafuata Mwigulu , inayofuata ni zamu yako .

Shetani hana rafiki .
 

Ingekuwa sheria zinafuatwa bila macho hapo tungesema sawa. Lakini sio Makonda analeta macontainer, kisha anatunisha misuli halipi kwa mamlaka halali, kisha huyo msimamizi anayetaka tuamini anasimamia sheria anaongea kwa unyenyekevu si ulipe tu!! Hizo sheria zinatekelezwa ili kufunga watu midomo na wala hazitekelezwi kwa nia njema.
 
Hata kama mliwahi gombea demu na bwana yule Miaka 20 au 30 nyuma jela itakuhusu kwa Mzee wa visasi
 
Mbwa ni nani? Yaani Watanzania unatuita mbwa?
Punguza ujuha wewe binti.
 
Tumechoka kutawaliwa kiustaarabu,dharau ilizidi kupita kiasi.
Sasa heshima imeanza kurudi nchini kwetu
 
Kabisa yaani mie siku hizi napanda langu daladala manake sitaki shida gari natoka nayo usiku tuu wakati wale mabwana washaondoka barabarani manake siku hizi wanashindana na watoza ushuru
Bas sawaa, ngoja niige
 
Mkuu, kila kitu kina athari kisipotumika kwa usahihi, hata simu ikitumika kwa uhalifu si unafungwa ila ikitumika kwa manufaa mengine nobody cares, account za social kila mara tunaona watu wanavyojipost uchi uchi tunaona kawaida tu ila sio kawaida ni ujinga so wakikamatwa wakaenda jela utasema umeonewa? Tufuate masharti na vigezo vinavyotakiwa kuzingatiwa afu uone km kuna mtu atakukamata.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…