Kama una vitu vifuatavyo Tanzania, Jela inakuita muda wowote !
- Unamiliki Akaunti ya Social media yoyote.
- Una laini ya simu
- Unaongea ( Siyo bubu )
- Unazungumzia HAKI na UKANDAMIZAJI
- Una blog/YouTube Channel
- Mwanasiasa
- Mfanyabiashara
- Unahudhuria mikutano ya siasa hasa ya upinzani
- Unamiliki Media
- Mwandishi wa habari
- Una toa takwimu yoyote inayopingana na serikali
- Unatupa ovyo vocha ya kukwangua baada ya kuitumia
- Kununua simu kwa mtu !
- Kushirikiana na mwanasiasa hasa wa upinzani