Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
Mkaanzisha na uhamasishaji tuchanjwe. Msaada wa mchele tunakataa sababu hauna manufaa kwetu sisi baadhi ya watu.
Usaid watoe pesa waone kama tutakataa... Mchele hatuwezi chukua peleka majumbani kwetu. Hauna faida kwetu. Next time watoe mkwanja tukanunue mchele hata Kenya( kwa ambao wananunua mchele kwetu)
Mbona mabehewa na engine za SGR tulinunua wenyewe? Tena kali kichizi. Siku hizi hata Ndom zao tumezigomea. Zinapunguza sisi waafrika kuzaana. Tunapiga kavu kavu. Hawa jamaa hawataki tuzaane. Wanajua tukizaana. Tutawazidi kiuchumi. Ni wivu tu.
Usaid watoe pesa waone kama tutakataa... Mchele hatuwezi chukua peleka majumbani kwetu. Hauna faida kwetu. Next time watoe mkwanja tukanunue mchele hata Kenya( kwa ambao wananunua mchele kwetu)
Mbona mabehewa na engine za SGR tulinunua wenyewe? Tena kali kichizi. Siku hizi hata Ndom zao tumezigomea. Zinapunguza sisi waafrika kuzaana. Tunapiga kavu kavu. Hawa jamaa hawataki tuzaane. Wanajua tukizaana. Tutawazidi kiuchumi. Ni wivu tu.