Tulipompata Tulia Ackson kama mbunge, Mbeya yote imechangamka kwa miradi ya miundombinu

Tulipompata Tulia Ackson kama mbunge, Mbeya yote imechangamka kwa miradi ya miundombinu

masopakyindi

Platinum Member
Joined
Jul 5, 2011
Posts
18,207
Reaction score
13,839
Pamoja na siasa uchwara za wenzetu, inabidi tukubali ukweli tunaouona kwa macho yetu.

Toka tumeanza kuwa na huyu mbunge wetu Tulia Ackson, miradi mkoa wa Mbeya imeanza kuchangamsha mkoa.

Pamoja na kuwa mkoa mkubwa wa uzalishaji mkubwa wa chakula kwa Taifa, Mbeya ilikuwa katika jinamizi la kimaendeleo.

Kwa takriban miaka 15-20 viongozi wa kitaifa siyo siri waliku wakiunyanyapaa kutembelea mkoa.

Nasema hivi kwa sababu za siasa za majitaka ndani ya hata CCM yenyewe.

Kuingia Dr Tulia Ackson katika siasa za Mbeya kumekata unyanyapaa huo.
Sasa na miradi ya ujenzi wa miundo mbinu imeanza kuchipua karibia kila wilaya.

Kwa ile miradi ninayoifahamu:
-Uyole-Mbalizi-Ifisi 4way rd
-itumba-Mpemba rd
-Inyala-Simambwe rd
-Chunya-Makongorosi rd
~Mbambo-Masoko-Tukuyu rd
-Busokelo-Katumba rd

Na nimedodosa, miradi katika pipeline
-Mbalizi-Chunya rd
-Kiwira-Ighale Mbalizi rd
-Kasumulu-Ileje rd

Sasa naua sana kuna wadau na viongziwengi ni wausika pia na michango yao ipo.
Ila kwa kupata mtu wa kuisemea Mbeya kitaifa, hilo ni bingo.

Halafu sasa wanajitokeza watu wanaotaka kuturudissha Misri, kwa kuirudisha Mbeya kwenye siasa za matusi na maandamano yasiyo na tija Mwanjelwa. Mzee wa kidole cha kati hajawahi kuwa na ushawishi katika maendeleo.
 
Du Sugu, mzee wa kidole cha kati!!
Alijenga nini kwa ushawishi wa kidole cha kati?

OIP.hwSHoWx6KILwmTxnIhV6MgHaGC

Huyu jamaani mwehu
 
Pamoja na siasa uchwara za wenzetu, inabidi tukubali ukweli tunaouona kwa macho yetu.

Toka tumeanza kuwa na huyu mbunge wetu Tulia Ackson , miradi mkoa wa Mbeya imeanza kuchangamsha mkoa.
Pamoja na kuwa mkoa mkubwa wa uzalishaji mkubwa wa chakula kwa Taifa, Mbeya ilikuwa katika jinamizi la kimaendeleo.

Kwa takriban miaka 15-20 viongozi wa kitaifa siyo siri waliku wakiunyanyapaa kutembelea mkoa.

Nasema hivi kwa sababu za siasa za majitaka ndani ya hata CCM yenyewe.

Kuingia Dr Tulia Ackson katika siasa za Mbeya kumekata unyanyapaa huo.
Sasa na miradi ya ujenzi wa miundo mbinu imeanza kuchipua karibia kila wilaya.
Kwa ile miradi ninayoifahamu:
-Uyole-Mbalizi-Ifisi 4way rd
-itumba-Mpemba rd
-Inyala-Simambwe rd
-Chunya-Makongorosi rd
~Mbambo-Masoko-Tukuyu rd
-Busokelo-Katumba rd

Na nimedodosa, miradi katika pipeline
-Mbalizi-Chunya rd
-Kiwira-Ighale Mbalizi rd
-Kasumulu-Ileje rd

Sasa naua sana kuna wadau na viongziwengi ni wausika pia na michango yao ipo.
Ila kwa kupata mtu wa kuisemea Mbeya kitaifa, hilo ni bingo.

Halafu sasa wanajitokeza watu wanaotaka kuturudissha Misri, kwa kuirudisha Mbeya kwenye siasa za matusi na maandamano yasiyo na tija Mwanjelwa.
Mzee wa kidole cha kati hajawahi kuwa na ushawishi katika maendeleo.
Uchawa
 
Pamoja na siasa uchwara za wenzetu, inabidi tukubali ukweli tunaouona kwa macho yetu.

Toka tumeanza kuwa na huyu mbunge wetu Tulia Ackson, miradi mkoa wa Mbeya imeanza kuchangamsha mkoa.

Pamoja na kuwa mkoa mkubwa wa uzalishaji mkubwa wa chakula kwa Taifa, Mbeya ilikuwa katika jinamizi la kimaendeleo.

Kwa takriban miaka 15-20 viongozi wa kitaifa siyo siri waliku wakiunyanyapaa kutembelea mkoa.

Nasema hivi kwa sababu za siasa za majitaka ndani ya hata CCM yenyewe.

Kuingia Dr Tulia Ackson katika siasa za Mbeya kumekata unyanyapaa huo.
Sasa na miradi ya ujenzi wa miundo mbinu imeanza kuchipua karibia kila wilaya.

Kwa ile miradi ninayoifahamu:
-Uyole-Mbalizi-Ifisi 4way rd
-itumba-Mpemba rd
-Inyala-Simambwe rd
-Chunya-Makongorosi rd
~Mbambo-Masoko-Tukuyu rd
-Busokelo-Katumba rd

Na nimedodosa, miradi katika pipeline
-Mbalizi-Chunya rd
-Kiwira-Ighale Mbalizi rd
-Kasumulu-Ileje rd

Sasa naua sana kuna wadau na viongziwengi ni wausika pia na michango yao ipo.
Ila kwa kupata mtu wa kuisemea Mbeya kitaifa, hilo ni bingo.

Halafu sasa wanajitokeza watu wanaotaka kuturudissha Misri, kwa kuirudisha Mbeya kwenye siasa za matusi na maandamano yasiyo na tija Mwanjelwa. Mzee wa kidole cha kati hajawahi kuwa na ushawishi katika maendeleo.
FDE599B9-643D-4105-9701-346A2B8718B2.jpeg
 
Ujinga mtupu,ukiondoa barabara ya Uyole Ifisi unaweza kusema Tulia amesaidia vipi JiJi la Mbeya katika miundo mbinu? Kuna lipi Kip ya Mbeya jiji?
Tulia ni mbunge wa Mbeya mjini na siyo Mkoa wa Mbeya na ameshindwa kutumia nafasi yake kuisaidia Mbeya sababu hana ushawishi serikalini.
Tangu kuondoka Mwandosya Mbeya haijawahi pata wa kuipigania kutoka CCM
 
Ujinga mtupu,ukiondoa barabara ya Uyole Ifisi unaweza kusema Tulia amesaidia vipi JiJi la Mbeya katika miundo mbinu? Kuna lipi Kip ya Mbeya jiji?
Tulia ni mbunge wa Mbeya mjini na siyo Mkoa wa Mbeya na ameshindwa kutumia nafasi yake kuisaidia Mbeya sababu hana ushawishi serikalini.
Tangu kuondoka Mwandosya Mbeya haijawahi pata wa kuipigania kutoka CCM
Mkuu Mbeya mjini wakazi wake wengi ni Wasafwa, Wakinga, Wahindi, Wanyakyusa na Wawanji. Tulia kwao ni Wilaya ya Rungwe
 
Wewe Mnyakyusa wahead wa huko Tukuyu kwenye Makasokela/Parachichi unataka Mnyakyusa mwenzako Tulia aongoze Watoto wa mjini Mbeya?!
Hivi, mama Saia kabila gani?
Ni mijitu mijinga mijinga tu inayofikiri kikabila kama unavyifikiri.
Kwani barabara za Mbeya ni za kabila gani?
 
Kingine ni hiki , ikiwa kama Tulia kaleta maendeleo Mbeya basi hakuna haja ya kuligawa jimbo , tuendelee na hilo hilo , na baada ya Katiba mpya na Tume huru tuingie ulingoni , kwanini mnaloga ?
Kwa haya yaliyosemwa wanambeya watakuwa wapumbavu kumrudisha sugu. Mbeya waliisusa miaka mingi sana sababu ya watu kama sugu. Sugu siasa haiwezi. Hana akili ya siasa angekuwa Mnyika sawa. Kuna mambo tuacheni uchawa tuambiane ukweli. Mnyika natamani sana arudi Bungeni. He was smart. But Sugu akili ya siasa hana. Anaropoka na hajui kupanga hoja. Kiuchumi yupo vizuri amejijenga
 
Back
Top Bottom