Tulipompata Tulia Ackson kama mbunge, Mbeya yote imechangamka kwa miradi ya miundombinu

Tulipompata Tulia Ackson kama mbunge, Mbeya yote imechangamka kwa miradi ya miundombinu

Mkuu Mbeya mjini wakazi wake wengi ni Wasafwa, Wakinga, Wahindi, Wanyakyusa na Wawanji. Tulia kwao ni Wilaya ya Rungwe
Nasikia Jiwe mlilo lika taa tukuyu Sasa limegeuka luru Kwa wasafa
 
Kwa haya yaliyosemwa wanambeya watakuwa wapumbavu kumrudisha sugu. Mbeya waliisusa miaka mingi sana sababu ya watu kama sugu. Sugu siasa haiwezi. Hana akili ya siasa angekuwa Mnyika sawa. Kuna mambo tuacheni uchawa tuambiane ukweli. Mnyika natamani sana arudi Bungeni. He was smart. But Sugu akili ya siasa hana. Anaropoka na hajui kupanga hoja. Kiuchumi yupo vizuri amejijenga
Sugu ni makapi katika jamii kisiasa.
Anataka kupambana na Dr Tlia ambaye uwepo wake kisiasa ni hiyo miradi ya maendeleo kijamii.
Sugu hana lolote la kuwaendeleza wana Mbeya.
 
Du Sugu, mzee wa kidole cha kati!!
Alijenga nini kwa ushawishi wa kidole cha kati?

OIP.hwSHoWx6KILwmTxnIhV6MgHaGC

Huyu jamaani mwehu
Nchi ya ajabu sana. Sugu ndio mtu wa kulinganishwa na Tulia? Naweza kumuita mhuni tu. Elimu ndogo ujanjaujanja tu. Akiongea ni kufokafoka utadhani anaghani mashairi.😂
 
Umeanza uchawa pro
Kama uchawa unaleta maendeleo ya barabara Mbeya, so be it.

Uhuni wa kidole cha kati si ushamba tu, bali inaonyesha mtu alivyo mtupu kivchwani.
 
Nchi ya ajabu sana. Sugu ndio mtu wa kulinganishwa na Tulia? Naweza kumuita mhuni tu. Elimu ndogo ujanjaujanja tu. Akiongea ni kufokafoka utadhani anaghani mashairi.😂
Kuna watu humu ndani wana mahaba yasiyo na mashiko kimaendeleo na Sugu.
 
Pamoja na siasa uchwara za wenzetu, inabidi tukubali ukweli tunaouona kwa macho yetu.

Toka tumeanza kuwa na huyu mbunge wetu Tulia Ackson, miradi mkoa wa Mbeya imeanza kuchangamsha mkoa.

Pamoja na kuwa mkoa mkubwa wa uzalishaji mkubwa wa chakula kwa Taifa, Mbeya ilikuwa katika jinamizi la kimaendeleo.

Kwa takriban miaka 15-20 viongozi wa kitaifa siyo siri waliku wakiunyanyapaa kutembelea mkoa.

Nasema hivi kwa sababu za siasa za majitaka ndani ya hata CCM yenyewe.

Kuingia Dr Tulia Ackson katika siasa za Mbeya kumekata unyanyapaa huo.
Sasa na miradi ya ujenzi wa miundo mbinu imeanza kuchipua karibia kila wilaya.

Kwa ile miradi ninayoifahamu:
-Uyole-Mbalizi-Ifisi 4way rd
-itumba-Mpemba rd
-Inyala-Simambwe rd
-Chunya-Makongorosi rd
~Mbambo-Masoko-Tukuyu rd
-Busokelo-Katumba rd

Na nimedodosa, miradi katika pipeline
-Mbalizi-Chunya rd
-Kiwira-Ighale Mbalizi rd
-Kasumulu-Ileje rd

Sasa naua sana kuna wadau na viongziwengi ni wausika pia na michango yao ipo.
Ila kwa kupata mtu wa kuisemea Mbeya kitaifa, hilo ni bingo.

Halafu sasa wanajitokeza watu wanaotaka kuturudissha Misri, kwa kuirudisha Mbeya kwenye siasa za matusi na maandamano yasiyo na tija Mwanjelwa. Mzee wa kidole cha kati hajawahi kuwa na ushawishi katika maendeleo.
Hakika hujielewi.
 
Pamoja na siasa uchwara za wenzetu, inabidi tukubali ukweli tunaouona kwa macho yetu.

Toka tumeanza kuwa na huyu mbunge wetu Tulia Ackson, miradi mkoa wa Mbeya imeanza kuchangamsha mkoa.

Pamoja na kuwa mkoa mkubwa wa uzalishaji mkubwa wa chakula kwa Taifa, Mbeya ilikuwa katika jinamizi la kimaendeleo.

Kwa takriban miaka 15-20 viongozi wa kitaifa siyo siri waliku wakiunyanyapaa kutembelea mkoa.

Nasema hivi kwa sababu za siasa za majitaka ndani ya hata CCM yenyewe.

Kuingia Dr Tulia Ackson katika siasa za Mbeya kumekata unyanyapaa huo.
Sasa na miradi ya ujenzi wa miundo mbinu imeanza kuchipua karibia kila wilaya.

Kwa ile miradi ninayoifahamu:
-Uyole-Mbalizi-Ifisi 4way rd
-itumba-Mpemba rd
-Inyala-Simambwe rd
-Chunya-Makongorosi rd
~Mbambo-Masoko-Tukuyu rd
-Busokelo-Katumba rd

Na nimedodosa, miradi katika pipeline
-Mbalizi-Chunya rd
-Kiwira-Ighale Mbalizi rd
-Kasumulu-Ileje rd

Sasa naua sana kuna wadau na viongziwengi ni wausika pia na michango yao ipo.
Ila kwa kupata mtu wa kuisemea Mbeya kitaifa, hilo ni bingo.

Halafu sasa wanajitokeza watu wanaotaka kuturudissha Misri, kwa kuirudisha Mbeya kwenye siasa za matusi na maandamano yasiyo na tija Mwanjelwa. Mzee wa kidole cha kati hajawahi kuwa na ushawishi katika maendeleo.
kwa hiyo wilaya zote hizo ulizo zitaja mbunge ni tulia ackson au
 
Nchi ya ajabu sana. Sugu ndio mtu wa kulinganishwa na Tulia? Naweza kumuita mhuni tu. Elimu ndogo ujanjaujanja tu. Akiongea ni kufokafoka utadhani anaghani mashairi.😂
Sugu ni kama intellectual trash, zaidi ya kujisifu na matusi wananchi hawana cha kutegemea.
 
Mtaongea Sana lkn mziki wa dogo mtakumbana nao LIVE. Kumbuka safari hii mwendazake Yuko kuzimu.
 
Pamoja na siasa uchwara za wenzetu, inabidi tukubali ukweli tunaouona kwa macho yetu.

Toka tumeanza kuwa na huyu mbunge wetu Tulia Ackson, miradi mkoa wa Mbeya imeanza kuchangamsha mkoa.

Pamoja na kuwa mkoa mkubwa wa uzalishaji mkubwa wa chakula kwa Taifa, Mbeya ilikuwa katika jinamizi la kimaendeleo.

Kwa takriban miaka 15-20 viongozi wa kitaifa siyo siri waliku wakiunyanyapaa kutembelea mkoa.

Nasema hivi kwa sababu za siasa za majitaka ndani ya hata CCM yenyewe.

Kuingia Dr Tulia Ackson katika siasa za Mbeya kumekata unyanyapaa huo.
Sasa na miradi ya ujenzi wa miundo mbinu imeanza kuchipua karibia kila wilaya.

Kwa ile miradi ninayoifahamu:
-Uyole-Mbalizi-Ifisi 4way rd
-itumba-Mpemba rd
-Inyala-Simambwe rd
-Chunya-Makongorosi rd
~Mbambo-Masoko-Tukuyu rd
-Busokelo-Katumba rd

Na nimedodosa, miradi katika pipeline
-Mbalizi-Chunya rd
-Kiwira-Ighale Mbalizi rd
-Kasumulu-Ileje rd

Sasa naua sana kuna wadau na viongziwengi ni wausika pia na michango yao ipo.
Ila kwa kupata mtu wa kuisemea Mbeya kitaifa, hilo ni bingo.

Halafu sasa wanajitokeza watu wanaotaka kuturudissha Misri, kwa kuirudisha Mbeya kwenye siasa za matusi na maandamano yasiyo na tija Mwanjelwa. Mzee wa kidole cha kati hajawahi kuwa na ushawishi katika maendeleo.
Unataka kusema Tulia ni mbunge anayewakilisha mkoa mzima wa Mbeya, na wala siyo jimbo lake la Mbeya Mjini. Na pia unataka kutuambia kuwa serikali hupeleka miradi ya maendeleo kwa upendeleo kutokana na mlengo wa kiitikad wa kiongozi aliyechaguliwa na wananchi!?

Yaani kiongozi anayechaguliwa na wananchi akitoka chama kingine nje ya CCM, maendeleo ya eneo husika hayapaswi kupewa kipaumbele na serikali. Yaani, kuichagua CCM ni sharti la lazima, vinginevyo wananchi waliochagua viongozi wa upinzani hupaswa kukomolewa ili wajutie kile walichokifanya!

Duh! Nchi hii siyo ngumu, bali raia ndiyo wagumu.
 
Back
Top Bottom