Ukweli umegeuka uchawa Ii nchi iiUchawa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukweli umegeuka uchawa Ii nchi iiUchawa
Nasikia Jiwe mlilo lika taa tukuyu Sasa limegeuka luru Kwa wasafaMkuu Mbeya mjini wakazi wake wengi ni Wasafwa, Wakinga, Wahindi, Wanyakyusa na Wawanji. Tulia kwao ni Wilaya ya Rungwe
Sugu ni makapi katika jamii kisiasa.Kwa haya yaliyosemwa wanambeya watakuwa wapumbavu kumrudisha sugu. Mbeya waliisusa miaka mingi sana sababu ya watu kama sugu. Sugu siasa haiwezi. Hana akili ya siasa angekuwa Mnyika sawa. Kuna mambo tuacheni uchawa tuambiane ukweli. Mnyika natamani sana arudi Bungeni. He was smart. But Sugu akili ya siasa hana. Anaropoka na hajui kupanga hoja. Kiuchumi yupo vizuri amejijenga
Nchi ya ajabu sana. Sugu ndio mtu wa kulinganishwa na Tulia? Naweza kumuita mhuni tu. Elimu ndogo ujanjaujanja tu. Akiongea ni kufokafoka utadhani anaghani mashairi.😂Du Sugu, mzee wa kidole cha kati!!
Alijenga nini kwa ushawishi wa kidole cha kati?
![]()
Huyu jamaani mwehu
Kama uchawa unaleta maendeleo ya barabara Mbeya, so be it.Umeanza uchawa pro
Naona kimbau kimeanza kumwaga fedha😀Kampeni bado.....
Tusubiri kwanza.
Kuna watu humu ndani wana mahaba yasiyo na mashiko kimaendeleo na Sugu.Nchi ya ajabu sana. Sugu ndio mtu wa kulinganishwa na Tulia? Naweza kumuita mhuni tu. Elimu ndogo ujanjaujanja tu. Akiongea ni kufokafoka utadhani anaghani mashairi.😂
Hakika hujielewi.Pamoja na siasa uchwara za wenzetu, inabidi tukubali ukweli tunaouona kwa macho yetu.
Toka tumeanza kuwa na huyu mbunge wetu Tulia Ackson, miradi mkoa wa Mbeya imeanza kuchangamsha mkoa.
Pamoja na kuwa mkoa mkubwa wa uzalishaji mkubwa wa chakula kwa Taifa, Mbeya ilikuwa katika jinamizi la kimaendeleo.
Kwa takriban miaka 15-20 viongozi wa kitaifa siyo siri waliku wakiunyanyapaa kutembelea mkoa.
Nasema hivi kwa sababu za siasa za majitaka ndani ya hata CCM yenyewe.
Kuingia Dr Tulia Ackson katika siasa za Mbeya kumekata unyanyapaa huo.
Sasa na miradi ya ujenzi wa miundo mbinu imeanza kuchipua karibia kila wilaya.
Kwa ile miradi ninayoifahamu:
-Uyole-Mbalizi-Ifisi 4way rd
-itumba-Mpemba rd
-Inyala-Simambwe rd
-Chunya-Makongorosi rd
~Mbambo-Masoko-Tukuyu rd
-Busokelo-Katumba rd
Na nimedodosa, miradi katika pipeline
-Mbalizi-Chunya rd
-Kiwira-Ighale Mbalizi rd
-Kasumulu-Ileje rd
Sasa naua sana kuna wadau na viongziwengi ni wausika pia na michango yao ipo.
Ila kwa kupata mtu wa kuisemea Mbeya kitaifa, hilo ni bingo.
Halafu sasa wanajitokeza watu wanaotaka kuturudissha Misri, kwa kuirudisha Mbeya kwenye siasa za matusi na maandamano yasiyo na tija Mwanjelwa. Mzee wa kidole cha kati hajawahi kuwa na ushawishi katika maendeleo.
kwa hiyo wilaya zote hizo ulizo zitaja mbunge ni tulia ackson auPamoja na siasa uchwara za wenzetu, inabidi tukubali ukweli tunaouona kwa macho yetu.
Toka tumeanza kuwa na huyu mbunge wetu Tulia Ackson, miradi mkoa wa Mbeya imeanza kuchangamsha mkoa.
Pamoja na kuwa mkoa mkubwa wa uzalishaji mkubwa wa chakula kwa Taifa, Mbeya ilikuwa katika jinamizi la kimaendeleo.
Kwa takriban miaka 15-20 viongozi wa kitaifa siyo siri waliku wakiunyanyapaa kutembelea mkoa.
Nasema hivi kwa sababu za siasa za majitaka ndani ya hata CCM yenyewe.
Kuingia Dr Tulia Ackson katika siasa za Mbeya kumekata unyanyapaa huo.
Sasa na miradi ya ujenzi wa miundo mbinu imeanza kuchipua karibia kila wilaya.
Kwa ile miradi ninayoifahamu:
-Uyole-Mbalizi-Ifisi 4way rd
-itumba-Mpemba rd
-Inyala-Simambwe rd
-Chunya-Makongorosi rd
~Mbambo-Masoko-Tukuyu rd
-Busokelo-Katumba rd
Na nimedodosa, miradi katika pipeline
-Mbalizi-Chunya rd
-Kiwira-Ighale Mbalizi rd
-Kasumulu-Ileje rd
Sasa naua sana kuna wadau na viongziwengi ni wausika pia na michango yao ipo.
Ila kwa kupata mtu wa kuisemea Mbeya kitaifa, hilo ni bingo.
Halafu sasa wanajitokeza watu wanaotaka kuturudissha Misri, kwa kuirudisha Mbeya kwenye siasa za matusi na maandamano yasiyo na tija Mwanjelwa. Mzee wa kidole cha kati hajawahi kuwa na ushawishi katika maendeleo.
Ukiwa kundi la kushabikia kidole cha kati , sitakushangaa sana.Hakika hujielewi.
No!kwa hiyo wilaya zote hizo ulizo zitaja mbunge ni tulia ackson au
Wewe ni fyatuUkiwa kundi la kushabikia kidole cha kati , sitakushangaa sana.
Post yako ni futile kabisa, uwezi kufanya reference za wilaya zingine kwa kumpa masifa yasiyo yake Tulia.
Sugu ni kama intellectual trash, zaidi ya kujisifu na matusi wananchi hawana cha kutegemea.Nchi ya ajabu sana. Sugu ndio mtu wa kulinganishwa na Tulia? Naweza kumuita mhuni tu. Elimu ndogo ujanjaujanja tu. Akiongea ni kufokafoka utadhani anaghani mashairi.😂
uongo utakusaidia nini wewe msaliti maslahi ?Sugu ni kama intellectual trash, zaidi ya kujisifu na matusi wananchi hawana cha kutegemea.
Msaliti baba yako anayependa kimpumu kuliko barabara.uongo utakusaidia nini wewe msaliti maslahi ?
Unataka kusema Tulia ni mbunge anayewakilisha mkoa mzima wa Mbeya, na wala siyo jimbo lake la Mbeya Mjini. Na pia unataka kutuambia kuwa serikali hupeleka miradi ya maendeleo kwa upendeleo kutokana na mlengo wa kiitikad wa kiongozi aliyechaguliwa na wananchi!?Pamoja na siasa uchwara za wenzetu, inabidi tukubali ukweli tunaouona kwa macho yetu.
Toka tumeanza kuwa na huyu mbunge wetu Tulia Ackson, miradi mkoa wa Mbeya imeanza kuchangamsha mkoa.
Pamoja na kuwa mkoa mkubwa wa uzalishaji mkubwa wa chakula kwa Taifa, Mbeya ilikuwa katika jinamizi la kimaendeleo.
Kwa takriban miaka 15-20 viongozi wa kitaifa siyo siri waliku wakiunyanyapaa kutembelea mkoa.
Nasema hivi kwa sababu za siasa za majitaka ndani ya hata CCM yenyewe.
Kuingia Dr Tulia Ackson katika siasa za Mbeya kumekata unyanyapaa huo.
Sasa na miradi ya ujenzi wa miundo mbinu imeanza kuchipua karibia kila wilaya.
Kwa ile miradi ninayoifahamu:
-Uyole-Mbalizi-Ifisi 4way rd
-itumba-Mpemba rd
-Inyala-Simambwe rd
-Chunya-Makongorosi rd
~Mbambo-Masoko-Tukuyu rd
-Busokelo-Katumba rd
Na nimedodosa, miradi katika pipeline
-Mbalizi-Chunya rd
-Kiwira-Ighale Mbalizi rd
-Kasumulu-Ileje rd
Sasa naua sana kuna wadau na viongziwengi ni wausika pia na michango yao ipo.
Ila kwa kupata mtu wa kuisemea Mbeya kitaifa, hilo ni bingo.
Halafu sasa wanajitokeza watu wanaotaka kuturudissha Misri, kwa kuirudisha Mbeya kwenye siasa za matusi na maandamano yasiyo na tija Mwanjelwa. Mzee wa kidole cha kati hajawahi kuwa na ushawishi katika maendeleo.