PakiJinja
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 11,689
- 25,848
Kidole kati si ni zawadi kwako mkuu?Nyie wa kidole cha kati mna matatizo.
Nani atawachagua ili muonyeshe kidole cha kati bungeni?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kidole kati si ni zawadi kwako mkuu?Nyie wa kidole cha kati mna matatizo.
Nani atawachagua ili muonyeshe kidole cha kati bungeni?
Kwa hizo sera za kipumbavu na kubaguzi za kukataa kupeleka maendeleo maeneo yenye viongozi kutoka upinzani?Pamoja na siasa uchwara za wenzetu, inabidi tukubali ukweli tunaouona kwa macho yetu.
Toka tumeanza kuwa na huyu mbunge wetu Tulia Ackson, miradi mkoa wa Mbeya imeanza kuchangamsha mkoa.
Pamoja na kuwa mkoa mkubwa wa uzalishaji mkubwa wa chakula kwa Taifa, Mbeya ilikuwa katika jinamizi la kimaendeleo.
Kwa takriban miaka 15-20 viongozi wa kitaifa siyo siri waliku wakiunyanyapaa kutembelea mkoa.
Nasema hivi kwa sababu za siasa za majitaka ndani ya hata CCM yenyewe.
Kuingia Dr Tulia Ackson katika siasa za Mbeya kumekata unyanyapaa huo.
Sasa na miradi ya ujenzi wa miundo mbinu imeanza kuchipua karibia kila wilaya.
Kwa ile miradi ninayoifahamu:
-Uyole-Mbalizi-Ifisi 4way rd
-itumba-Mpemba rd
-Inyala-Simambwe rd
-Chunya-Makongorosi rd
~Mbambo-Masoko-Tukuyu rd
-Busokelo-Katumba rd
Na nimedodosa, miradi katika pipeline
-Mbalizi-Chunya rd
-Kiwira-Ighale Mbalizi rd
-Kasumulu-Ileje rd
Sasa naua sana kuna wadau na viongziwengi ni wausika pia na michango yao ipo.
Ila kwa kupata mtu wa kuisemea Mbeya kitaifa, hilo ni bingo.
Halafu sasa wanajitokeza watu wanaotaka kuturudissha Misri, kwa kuirudisha Mbeya kwenye siasa za matusi na maandamano yasiyo na tija Mwanjelwa. Mzee wa kidole cha kati hajawahi kuwa na ushawishi katika maendeleo.
Hapa napingana na wewe, Tulia ni mwehu mara saba ya huyu hakana akili hata moja kale ka sister.Jamaa huyo hamna kitu , huwez kumweka mtu wa hovyo kama huyo kuwa mwakilishi , mara mia ya Prof Jay somehow anajiheshimu kuliko huyu kiazi
Mbeya kwa kishamba tu na mjanja ni sugu peke yakeHivi, mama Saia kabila gani?
Ni mijitu mijinga mijinga tu inayofikiri kikabila kama unavyifikiri.
Kwani barabara za Mbeya ni za kabila gani?
ShangaaKwa hizo sera za kipumbavu na kubaguzi za kukataa kupeleka maendeleo maeneo yenye viongozi kutoka upinzani?
Haya ni majina ya dawa za Maswa au ni maeneo ya Mbeya?Kwa ile miradi ninayoifahamu:
-Uyole-Mbalizi-Ifisi 4way rd
-itumba-Mpemba rd
-Inyala-Simambwe rd
-Chunya-Makongorosi rd
~Mbambo-Masoko-Tukuyu rd
-Busokelo-Katumba rd
Kumbe uzi wote ni kuhusu aya ya mwisho?Kwa nini usingeandika:NAMUOGOPA JOSEPH MBILINYI aka SUGU?Pamoja na siasa uchwara za wenzetu, inabidi tukubali ukweli tunaouona kwa macho yetu.
Toka tumeanza kuwa na huyu mbunge wetu Tulia Ackson, miradi mkoa wa Mbeya imeanza kuchangamsha mkoa.
Pamoja na kuwa mkoa mkubwa wa uzalishaji mkubwa wa chakula kwa Taifa, Mbeya ilikuwa katika jinamizi la kimaendeleo.
Kwa takriban miaka 15-20 viongozi wa kitaifa siyo siri waliku wakiunyanyapaa kutembelea mkoa.
Nasema hivi kwa sababu za siasa za majitaka ndani ya hata CCM yenyewe.
Kuingia Dr Tulia Ackson katika siasa za Mbeya kumekata unyanyapaa huo.
Sasa na miradi ya ujenzi wa miundo mbinu imeanza kuchipua karibia kila wilaya.
Kwa ile miradi ninayoifahamu:
-Uyole-Mbalizi-Ifisi 4way rd
-itumba-Mpemba rd
-Inyala-Simambwe rd
-Chunya-Makongorosi rd
~Mbambo-Masoko-Tukuyu rd
-Busokelo-Katumba rd
Na nimedodosa, miradi katika pipeline
-Mbalizi-Chunya rd
-Kiwira-Ighale Mbalizi rd
-Kasumulu-Ileje rd
Sasa naua sana kuna wadau na viongziwengi ni wausika pia na michango yao ipo.
Ila kwa kupata mtu wa kuisemea Mbeya kitaifa, hilo ni bingo.
Halafu sasa wanajitokeza watu wanaotaka kuturudissha Misri, kwa kuirudisha Mbeya kwenye siasa za matusi na maandamano yasiyo na tija Mwanjelwa. Mzee wa kidole cha kati hajawahi kuwa na ushawishi katika maendeleo.
Watu wenye akili ndogo huishia kutunishiana misuli, hawafikirii legacy yao kwa wananchi na maendeleo yao.Kumbe uzi wote ni kuhusu aya ya mwisho?Kwa nini usingeandika:NAMUOGOPA JOSEPH MBILINYI aka SUGU?
Umeona kuna msuli umetuna hapo?Watu wenye akili ndogo huishia kutunishiana misuli, hawafikirii legacy yao kwa wananchi na maendeleo yao.