Tulipompata Tulia Ackson kama mbunge, Mbeya yote imechangamka kwa miradi ya miundombinu

Tulipompata Tulia Ackson kama mbunge, Mbeya yote imechangamka kwa miradi ya miundombinu

Pamoja na siasa uchwara za wenzetu, inabidi tukubali ukweli tunaouona kwa macho yetu.

Toka tumeanza kuwa na huyu mbunge wetu Tulia Ackson, miradi mkoa wa Mbeya imeanza kuchangamsha mkoa.

Pamoja na kuwa mkoa mkubwa wa uzalishaji mkubwa wa chakula kwa Taifa, Mbeya ilikuwa katika jinamizi la kimaendeleo.

Kwa takriban miaka 15-20 viongozi wa kitaifa siyo siri waliku wakiunyanyapaa kutembelea mkoa.

Nasema hivi kwa sababu za siasa za majitaka ndani ya hata CCM yenyewe.

Kuingia Dr Tulia Ackson katika siasa za Mbeya kumekata unyanyapaa huo.
Sasa na miradi ya ujenzi wa miundo mbinu imeanza kuchipua karibia kila wilaya.

Kwa ile miradi ninayoifahamu:
-Uyole-Mbalizi-Ifisi 4way rd
-itumba-Mpemba rd
-Inyala-Simambwe rd
-Chunya-Makongorosi rd
~Mbambo-Masoko-Tukuyu rd
-Busokelo-Katumba rd

Na nimedodosa, miradi katika pipeline
-Mbalizi-Chunya rd
-Kiwira-Ighale Mbalizi rd
-Kasumulu-Ileje rd

Sasa naua sana kuna wadau na viongziwengi ni wausika pia na michango yao ipo.
Ila kwa kupata mtu wa kuisemea Mbeya kitaifa, hilo ni bingo.

Halafu sasa wanajitokeza watu wanaotaka kuturudissha Misri, kwa kuirudisha Mbeya kwenye siasa za matusi na maandamano yasiyo na tija Mwanjelwa. Mzee wa kidole cha kati hajawahi kuwa na ushawishi katika maendeleo.
Kwa hizo sera za kipumbavu na kubaguzi za kukataa kupeleka maendeleo maeneo yenye viongozi kutoka upinzani?
 
Jamaa huyo hamna kitu , huwez kumweka mtu wa hovyo kama huyo kuwa mwakilishi , mara mia ya Prof Jay somehow anajiheshimu kuliko huyu kiazi
Hapa napingana na wewe, Tulia ni mwehu mara saba ya huyu hakana akili hata moja kale ka sister.

Mbeya siwezi kuishi ni mji wa kishamba kuanzia kwa watu wake
 
Hivi, mama Saia kabila gani?
Ni mijitu mijinga mijinga tu inayofikiri kikabila kama unavyifikiri.
Kwani barabara za Mbeya ni za kabila gani?
Mbeya kwa kishamba tu na mjanja ni sugu peke yake
 
Kwa ile miradi ninayoifahamu:
-Uyole-Mbalizi-Ifisi 4way rd
-itumba-Mpemba rd
-Inyala-Simambwe rd
-Chunya-Makongorosi rd
~Mbambo-Masoko-Tukuyu rd
-Busokelo-Katumba rd
Haya ni majina ya dawa za Maswa au ni maeneo ya Mbeya?
 
Pamoja na siasa uchwara za wenzetu, inabidi tukubali ukweli tunaouona kwa macho yetu.

Toka tumeanza kuwa na huyu mbunge wetu Tulia Ackson, miradi mkoa wa Mbeya imeanza kuchangamsha mkoa.

Pamoja na kuwa mkoa mkubwa wa uzalishaji mkubwa wa chakula kwa Taifa, Mbeya ilikuwa katika jinamizi la kimaendeleo.

Kwa takriban miaka 15-20 viongozi wa kitaifa siyo siri waliku wakiunyanyapaa kutembelea mkoa.

Nasema hivi kwa sababu za siasa za majitaka ndani ya hata CCM yenyewe.

Kuingia Dr Tulia Ackson katika siasa za Mbeya kumekata unyanyapaa huo.
Sasa na miradi ya ujenzi wa miundo mbinu imeanza kuchipua karibia kila wilaya.

Kwa ile miradi ninayoifahamu:
-Uyole-Mbalizi-Ifisi 4way rd
-itumba-Mpemba rd
-Inyala-Simambwe rd
-Chunya-Makongorosi rd
~Mbambo-Masoko-Tukuyu rd
-Busokelo-Katumba rd

Na nimedodosa, miradi katika pipeline
-Mbalizi-Chunya rd
-Kiwira-Ighale Mbalizi rd
-Kasumulu-Ileje rd

Sasa naua sana kuna wadau na viongziwengi ni wausika pia na michango yao ipo.
Ila kwa kupata mtu wa kuisemea Mbeya kitaifa, hilo ni bingo.

Halafu sasa wanajitokeza watu wanaotaka kuturudissha Misri, kwa kuirudisha Mbeya kwenye siasa za matusi na maandamano yasiyo na tija Mwanjelwa. Mzee wa kidole cha kati hajawahi kuwa na ushawishi katika maendeleo.
Kumbe uzi wote ni kuhusu aya ya mwisho?Kwa nini usingeandika:NAMUOGOPA JOSEPH MBILINYI aka SUGU?
 
Ndio maana nawashangaa wanaowaza kuwa Sungu anaweza kumpa changamoto Tulia! Sugu huyuhuyu vs. Dr. Tulia?

Kuwa na mbunge ambaye ana nafasi kubwa ni faida mno, anayo access na mawaziri wote pamoja na rais mwenyewe, anaweza kushawishi mambo yakatendeka jimboni.

Nitashangaa wana Mbeya kama watakuwa tayari kupoteza fursa hiyo kwa ajili ya Sugu.
 
Back
Top Bottom