Tulipotezeana kwa muda kisa tu anahisi mimi nina mtu mwingine

Tulipotezeana kwa muda kisa tu anahisi mimi nina mtu mwingine

Kunguru wa Unguja

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2021
Posts
1,762
Reaction score
1,823
Kheri ya Eid pili wakuu na jumapili njema wenzangu na mimi, moja kwa moja kwenye mada wakuu mimi nilikuwa kwenye mahusiano na mdada mmoja almost ana miaka 21 na mahusiano yetu yaliendelea vizuri kwa muda wa miezi 3 lakini 3 past weeks huyo mwenzangu alikuwa analalamika sanaa kwamba mimi niko na mtu mwingine lakini sio kweli.

So nilimbembeleza na kumweleza ukweli lakini bado hanielewi anadai haitaki kugombana na huyo mtu ambaye yeye anahisi mimi natoka naye.

Lakini baadae nikaona huyu anataka kunipanda kichwani mimi nikaamua kukaa kimya kwa muda ili kuclear air lakini baadae nikajua anatoka na mtu mwingine but sikumchana kwamba anatoka na mtu flani so nikaanza kumcheki kwa ujumbe wa maandishi nikaona anarespond na yeye akaanza kunishirikisha mambo yake lakini mwanzoni alikuwa anapenda kuniita my lakini sasa hivu ameacha kabisa.

So wakuu wa MMU naombeni ushauri wenu jinsi ya kumrudisha kwenye line b'se tunapendana sanaa lakini hataki kunielewa kwamba mimi sina mtu mwingine zaidi yake.
 
Ni hatua za ukuaji hizi kila mtu anazipitia hakuna haja ya ushauri yatapita tu na utakua salama.

NB: Tambua tu huyo hatakua Mpenzi wako wa mwisho.
 
Kheri ya Eid pili wakuu na jumapili njema wenzangu na mimi,moja kwa moja kwenye mada wakuu mimi nilikuwa kwenye mahusiano na mdada mmoja almost ana miaka 21 na mahusiano yetu yaliendelea vizuri kwa muda wa miezi 3 lakini 3week past huyo mwenzangu alikuwa analalamika sanaa kwamba mimi niko na mtu mwingine lakini sio kweli so nilimbembeleza na kumweleza ukweli lakini bado hanielewi anadai haitaki kugombana na huyo mtu ambaye yeye anahisi mimi natokanae. lakini baadae nikaona huyu anataka kunipanda kichwani mimi nikaamua kukaa kimya kwa muda ili kuclear air lakini baadae nikajua anatoka na mtu mwingine but sikumchana kwamb anatoka na mtu flani so nikaanze kumcheki kwa ujumbe wa maandishi nikaona anarespond na yeye akaanza kunishirikisha mambo yake lakini mwanzoni alikuwa anapenda kuniita my lakini sahv ameacha kabisa. So wakuu wa MMU naombeni ushauri wenu jinsi ya kumrudisha kwenye line b'se tunapendana sanaa lakni hataki kunielewa kwamba mimi sina mtu mwingine zaidi yake..
Huu utoto sasa ushauri gan unataka apa
 
Kheri ya Eid pili wakuu na jumapili njema wenzangu na mimi, moja kwa moja kwenye mada wakuu mimi nilikuwa kwenye mahusiano na mdada mmoja almost ana miaka 21 na mahusiano yetu yaliendelea vizuri kwa muda wa miezi 3 lakini 3 past weeks huyo mwenzangu alikuwa analalamika sanaa kwamba mimi niko na mtu mwingine lakini sio kweli.

So nilimbembeleza na kumweleza ukweli lakini bado hanielewi anadai haitaki kugombana na huyo mtu ambaye yeye anahisi mimi natoka naye.

Lakini baadae nikaona huyu anataka kunipanda kichwani mimi nikaamua kukaa kimya kwa muda ili kuclear air lakini baadae nikajua anatoka na mtu mwingine but sikumchana kwamba anatoka na mtu flani so nikaanza kumcheki kwa ujumbe wa maandishi nikaona anarespond na yeye akaanza kunishirikisha mambo yake lakini mwanzoni alikuwa anapenda kuniita my lakini sasa hivu ameacha kabisa.

So wakuu wa MMU naombeni ushauri wenu jinsi ya kumrudisha kwenye line b'se tunapendana sanaa lakini hataki kunielewa kwamba mimi sina mtu mwingine zaidi yake.
Daah sijui unakwama wapi, ilo nalo unaomba ushauri?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom