Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sawaa dada nashkuru sanaa kwa ushauri maana nimeona ncjenikaanza mechi ikiwa 1-0 Nafkir umenielewaNakwambia nikiwa kama Mwanamke achana nae narudia tena ACHANA NAE
Hahahaa acha utani mkuu are seriousHembu leta namba zake tumuulize kwanini ameacha kukuita my
[emoji23][emoji23][emoji23]
Nmeshaacha kubembeleza nduguWe m bembeleze mpaka siku ukipata ngoma ndo akili zikukae vizuri
sawaa mkuuUyo atakuja kukusumbua baadae. Unless kama unataka upige mashine upite ila kujiweka uyo atakusumbua utakufa pressure.
Eti bhana! Amtupie hukoAchana nae
Sasa hupendi kuzungushwa halafu unatuomba ushauri. Tukikuambia umrudie utamrudia?Hahaha mkuu nimelala vzr tu ila mimi cpendag kuzungushwa kama pia thus why nimeomba ushauri kwenu wana MMU
Huyo hakupendSawaa mkuu ila mimi nataka nimchane
Mzee hili ni KOSA KUBWA SANA ambalo mwanamume hautakiwi kulifanya, avoid her to see you as an insecure guy in need of affectionso nikaanza kumcheki kwa ujumbe wa maandish
Sawa mkuuControl wenge kwanza, usiwe na Pupa nenda nae taratibu
tatizo wewe ni kunguru sasa sijui ni wa rangi gani?,tuanzie hapoKheri ya Eid pili wakuu na jumapili njema wenzangu na mimi, moja kwa moja kwenye mada wakuu mimi nilikuwa kwenye mahusiano na mdada mmoja almost ana miaka 21 na mahusiano yetu yaliendelea vizuri kwa muda wa miezi 3 lakini 3 past weeks huyo mwenzangu alikuwa analalamika sanaa kwamba mimi niko na mtu mwingine lakini sio kweli.
So nilimbembeleza na kumweleza ukweli lakini bado hanielewi anadai haitaki kugombana na huyo mtu ambaye yeye anahisi mimi natoka naye.
Lakini baadae nikaona huyu anataka kunipanda kichwani mimi nikaamua kukaa kimya kwa muda ili kuclear air lakini baadae nikajua anatoka na mtu mwingine but sikumchana kwamba anatoka na mtu flani so nikaanza kumcheki kwa ujumbe wa maandishi nikaona anarespond na yeye akaanza kunishirikisha mambo yake lakini mwanzoni alikuwa anapenda kuniita my lakini sasa hivu ameacha kabisa.
So wakuu wa MMU naombeni ushauri wenu jinsi ya kumrudisha kwenye line b'se tunapendana sanaa lakini hataki kunielewa kwamba mimi sina mtu mwingine zaidi yake.
Sawa sister ngoja niachane naeEti bhana! Amtupie huko