Tulipotezeana kwa muda kisa tu anahisi mimi nina mtu mwingine

Tulipotezeana kwa muda kisa tu anahisi mimi nina mtu mwingine

Kheri ya Eid pili wakuu na jumapili njema wenzangu na mimi, moja kwa moja kwenye mada wakuu mimi nilikuwa kwenye mahusiano na mdada mmoja almost ana miaka 21 na mahusiano yetu yaliendelea vizuri kwa muda wa miezi 3 lakini 3 past weeks huyo mwenzangu alikuwa analalamika sanaa kwamba mimi niko na mtu mwingine lakini sio kweli.

So nilimbembeleza na kumweleza ukweli lakini bado hanielewi anadai haitaki kugombana na huyo mtu ambaye yeye anahisi mimi natoka naye.

Lakini baadae nikaona huyu anataka kunipanda kichwani mimi nikaamua kukaa kimya kwa muda ili kuclear air lakini baadae nikajua anatoka na mtu mwingine but sikumchana kwamba anatoka na mtu flani so nikaanza kumcheki kwa ujumbe wa maandishi nikaona anarespond na yeye akaanza kunishirikisha mambo yake lakini mwanzoni alikuwa anapenda kuniita my lakini sasa hivu ameacha kabisa.

So wakuu wa MMU naombeni ushauri wenu jinsi ya kumrudisha kwenye line b'se tunapendana sanaa lakini hataki kunielewa kwamba mimi sina mtu mwingine zaidi yake.
"lakini baadae nikajua anatoka na mtu mwingine"

Unaonekana hata hujalala, asubuhi subuh tu nyuzi za videm. Kwa kifupi kama unataka kuendelea nae jua kabisa wewe ni bogaz. Tafuta namba za madaktar wa mirembe mapema.
 
"lakini baadae nikajua anatoka na mtu mwingine"

Unaonekana hata hujalala, asubuhi subuh tu nyuzi za videm. Kwa kifupi kama unataka kuendelea nae jua kabisa wewe ni bogaz. Tafuta namba za madaktar wa mirembe mapema.
Hahaha mkuu nimelala vzr tu ila mimi cpendag kuzungushwa kama pia thus why nimeomba ushauri kwenu wana MMU
 
Sawaa mkuu ngoja nikae kimya maana inaonyesha ni kweli sio bahati yangu kwa sababu muda wote alitaka nimjulia hali lakn yeye kunitumia text ilikuwa mara chache sanaa
Huyo ndio jua linachomoza 21yrs ubabaifu lazima uwe mwingi na kama hajatulia basi awezi tulia kwa mmoja hata uyo alienae ni suala la muda
 
Kheri ya Eid pili wakuu na jumapili njema wenzangu na mimi, moja kwa moja kwenye mada wakuu mimi nilikuwa kwenye mahusiano na mdada mmoja almost ana miaka 21 na mahusiano yetu yaliendelea vizuri kwa muda wa miezi 3 lakini 3 past weeks huyo mwenzangu alikuwa analalamika sanaa kwamba mimi niko na mtu mwingine lakini sio kweli.

So nilimbembeleza na kumweleza ukweli lakini bado hanielewi anadai haitaki kugombana na huyo mtu ambaye yeye anahisi mimi natoka naye.

Lakini baadae nikaona huyu anataka kunipanda kichwani mimi nikaamua kukaa kimya kwa muda ili kuclear air lakini baadae nikajua anatoka na mtu mwingine but sikumchana kwamba anatoka na mtu flani so nikaanza kumcheki kwa ujumbe wa maandishi nikaona anarespond na yeye akaanza kunishirikisha mambo yake lakini mwanzoni alikuwa anapenda kuniita my lakini sasa hivu ameacha kabisa.

So wakuu wa MMU naombeni ushauri wenu jinsi ya kumrudisha kwenye line b'se tunapendana sanaa lakini hataki kunielewa kwamba mimi sina mtu mwingine zaidi yake.
Duu utoto Raha sana Yani mnapendana sana wakati muda huohuo unagundua anatoka na mtu mwingine?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hampendani, wewe ndiyo unampenda na unamng'ang'ania.

Hamtafika popote, it takes two to tangle.

The earlier you accept the truth, the earlier you'll move on.

Acha kujishobokesha kwa wasiokupenda.
Sawa mkuu nashukuru kwa ushauri mzuri
 
Back
Top Bottom