Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
"lakini baadae nikajua anatoka na mtu mwingine"Kheri ya Eid pili wakuu na jumapili njema wenzangu na mimi, moja kwa moja kwenye mada wakuu mimi nilikuwa kwenye mahusiano na mdada mmoja almost ana miaka 21 na mahusiano yetu yaliendelea vizuri kwa muda wa miezi 3 lakini 3 past weeks huyo mwenzangu alikuwa analalamika sanaa kwamba mimi niko na mtu mwingine lakini sio kweli.
So nilimbembeleza na kumweleza ukweli lakini bado hanielewi anadai haitaki kugombana na huyo mtu ambaye yeye anahisi mimi natoka naye.
Lakini baadae nikaona huyu anataka kunipanda kichwani mimi nikaamua kukaa kimya kwa muda ili kuclear air lakini baadae nikajua anatoka na mtu mwingine but sikumchana kwamba anatoka na mtu flani so nikaanza kumcheki kwa ujumbe wa maandishi nikaona anarespond na yeye akaanza kunishirikisha mambo yake lakini mwanzoni alikuwa anapenda kuniita my lakini sasa hivu ameacha kabisa.
So wakuu wa MMU naombeni ushauri wenu jinsi ya kumrudisha kwenye line b'se tunapendana sanaa lakini hataki kunielewa kwamba mimi sina mtu mwingine zaidi yake.
Sawaa lovie lady aminia sanaa najua wewe unauelewa sanaa tabia za jinsia yakoAchana nae
Ndio hvyo huyo mlie buyu ukimtafuta atavimba kichwa sana na atakuendesha kwa sababu ashajua unamuelewa sana.Wooh Big brain hata mimi nilijua ananitafutia sababu ili tuachane sasa ndo nimeelewa
Hahaha mkuu nimelala vzr tu ila mimi cpendag kuzungushwa kama pia thus why nimeomba ushauri kwenu wana MMU"lakini baadae nikajua anatoka na mtu mwingine"
Unaonekana hata hujalala, asubuhi subuh tu nyuzi za videm. Kwa kifupi kama unataka kuendelea nae jua kabisa wewe ni bogaz. Tafuta namba za madaktar wa mirembe mapema.
Sawaa mkuu ngoja nikae kimya maana inaonyesha ni kweli sio bahati yangu kwa sababu muda wote alitaka nimjulia hali lakn yeye kunitumia text ilikuwa mara chache sanaaNdio hvyo huyo mlie buyu ukimtafuta atavimba kichwa sana na atakuendesha kwa sababu ashajua unamuelewa sana.
Sawaa mkuu nashukuru kwa ushauri wakoMapenzi haya, anyways tafta options unaumia kwa sababu huna options, move out from your comfort zone Tafta wanawake wengine.
Huyo ndio jua linachomoza 21yrs ubabaifu lazima uwe mwingi na kama hajatulia basi awezi tulia kwa mmoja hata uyo alienae ni suala la mudaSawaa mkuu ngoja nikae kimya maana inaonyesha ni kweli sio bahati yangu kwa sababu muda wote alitaka nimjulia hali lakn yeye kunitumia text ilikuwa mara chache sanaa
Sure mkuuHuyo ndio jua linachomoza 21yrs ubabaifu lazima uwe mwingi na kama hajatulia basi awezi tulia kwa mmoja hata uyo alienae ni suala la muda
Duu utoto Raha sana Yani mnapendana sana wakati muda huohuo unagundua anatoka na mtu mwingine?Kheri ya Eid pili wakuu na jumapili njema wenzangu na mimi, moja kwa moja kwenye mada wakuu mimi nilikuwa kwenye mahusiano na mdada mmoja almost ana miaka 21 na mahusiano yetu yaliendelea vizuri kwa muda wa miezi 3 lakini 3 past weeks huyo mwenzangu alikuwa analalamika sanaa kwamba mimi niko na mtu mwingine lakini sio kweli.
So nilimbembeleza na kumweleza ukweli lakini bado hanielewi anadai haitaki kugombana na huyo mtu ambaye yeye anahisi mimi natoka naye.
Lakini baadae nikaona huyu anataka kunipanda kichwani mimi nikaamua kukaa kimya kwa muda ili kuclear air lakini baadae nikajua anatoka na mtu mwingine but sikumchana kwamba anatoka na mtu flani so nikaanza kumcheki kwa ujumbe wa maandishi nikaona anarespond na yeye akaanza kunishirikisha mambo yake lakini mwanzoni alikuwa anapenda kuniita my lakini sasa hivu ameacha kabisa.
So wakuu wa MMU naombeni ushauri wenu jinsi ya kumrudisha kwenye line b'se tunapendana sanaa lakini hataki kunielewa kwamba mimi sina mtu mwingine zaidi yake.
anatoka na mtu flani
Hampendani, wewe ndiyo unampenda na unamng'ang'ania.b'se tunapendana sanaa
Hahahah sawa mjubaSponsa niachie mai wangu
Nashukur mkuu ngoja nichukue hatuaJombaa ukiona mwanamke anakulalamikia sna kuwa una mahusiano mengine tena Mara kwa mara na bila ushahidi tafakari na uchukue hatua unapigiwa tena sana
Hahahaa sawa mjuba nimeshajua nafeli wapiUnapendn na nan mkuu, Sema wew ndio unampend.[emoji856]
Tafuta ela mkuu
Nakwambia nikiwa kama Mwanamke achana nae narudia tena ACHANA NAESawaa lovie lady aminia sanaa najua wewe unauelewa sanaa tabia za jinsia yako
Sawa mkuu nashukuru kwa ushauri mzuriHampendani, wewe ndiyo unampenda na unamng'ang'ania.
Hamtafika popote, it takes two to tangle.
The earlier you accept the truth, the earlier you'll move on.
Acha kujishobokesha kwa wasiokupenda.