Aise.Labda itokee kimsihara mtaani tukulane bila kujuana kama kati yetu wote ni members,
maana kuna mdau humu kaleta masihara yake kwenye uzi pendwa wa rikiboy amekula demu tena mwenye wadhifa kitaa huko.
baada ya game kuisha demu kamwambia umenila kimasihara, jamaa akavuta picha kauli ya demu, mwishowe macho yakagongana wote wawili ikawa jamaa kahisi demu member wa jf na anaujua uzi pendwa wa tunda kimasihara, mshikaji kacheka ila akili kumkichwa[emoji1787]
Mkuu, wakati mwingine ni namna unavyowa-approach wanawake wa humu JF.Hawa wa humu mkilana, wanakufanya uwe bubu, unakua huwez Tena leta visa vyako vya mitaani.
Sasa muhuni kama Mimi , almost Kila wiki lazima nipige Mbususu tofauti 2-3 labda niwe sitaki tu.
Sasa hivo visa nitawaleteaje humu?.
Anyway Kuna Warembo wakali humu, nishajitahidi kuwatupia Ndoano zangu ila wanachomoka [emoji1787].
Utasikia nahukumiwa.... Wewe Carlos weeee uhuni wako wote huo nikupe? Nitakua Sina akili kabisa .
Basi nishaamua wa Humu , nitulie tu ,hawachelewi kukuumbua na kukuchamba [emoji1787][emoji1787]