Tulishawaonyeni sana hapa JamiiForums kuwa hawa 'QNET' ni 'Matapeli' hamkusikia sasa ngojeni 'Wawanyoosheni' ili mkome

Tulishawaonyeni sana hapa JamiiForums kuwa hawa 'QNET' ni 'Matapeli' hamkusikia sasa ngojeni 'Wawanyoosheni' ili mkome

WAATHIRIKA WA AJIRA ZA QNET WAANZA KUREJESHWA MAKWAO: Waathirika wa utapeli unaofanywa kupitia Kampuni ya Biashara ya Mtandao Q Net katika eneo la Mbezi Dar es Salaam wameanza kurejeshwa makwao kupitia operesheni maalumu inayofanywa na ofisi za wenyeviti a serikali za mitaa ikihusisha kuondolewa katika nyumba wanamoishi zoezi linalosimamiwa na Polisi Kata.

Mwenyekiti wa Mtaa wa Mbezi Louis amesema vijana hao wengi wao wakitoka nje ya mkoa wa Dar es salaam watafikishwa katika kituo kikuu cha Mabasi Magufuli ili kusubiria utaratibu wa kupata nauli za kurejea makwao na wale watakaokaidi watafikishwa mahakamani.

Chanzo: Azam TV

Wewe umeona wapi Kauli Mbiu ya Kampuni ni Salamu ya ''Good Morning' 'na hata mkikutana Mchana Saa 7 au Usiku Saa 1 bado mnatakiwa Kusalimiana hivyo hivyo 'Good Morning' tu?

Kama katika Salamu tu Wameshatudanganya (Kututapeli) katika Salamu hivi huko Kwingineko katika Masuala mazima ya Fedha na Mafanikio watakuwa Wakweli? Eti 'Good Morning' hovyo kabisa.

Na kinachoniuma zaidi ni kwamba Kampuni hii ya Kitapeli ya QNET imedekezwa mno na Serikali na imeumiza pia Watanzania wengi mpaka hata kuharibu Ndoa za Watu.
Hebu naomba nisimulieni vizuri wanafanya nini siku hizi hao QNet?

Maana nilishawahi kuwaonya watu toka miaka kumi na tano iliyopita enzi hizo QNet wanauza viglass fulani wanaita biodisc.

Naomba mkanda kamili wa hizo ajira za QNet ndo zikoje?
 
Biashara ya Neteork Marketing ha work kwa nchi masikini lazima ionekane ni utapeli, Qnet kama Qnet wapo sana shida Model yao kwa nchi masikini haofanyo kazi, ni the same na Folever living, GNLD na wengineo, Mfano ilianza GNLD wakashindwa wakaondoka lakini kampuni bado ipo na wana product kibao zinauzwa hata Tanzania na tunazitumia sana kama ile mbolea yao
Acha kutetea utapeli. Network marketing ni utapeli hata huko kwenye nchi tajiri. Sema tajiri akitapeliwa maisha yanaendelea. Lakini kuna tahadhari kibao kuhusu MLM na study kibao jinsi gani ni utapeli.

Kikubwa ni kuna kitu wanaita uwazi na ukweli. Marekani watu walilalamika sana ikabidi Fair Competition Commission yao iwalazimishe makampuni ya MLM kuweka wazi taarifa za mapato ya mbuzi wao.

Ikagundulika kwamba mbuzi wanaokula ni 1% tu. 99% wanaliwa.
 
Serikali kwa nini huwa inachelewa sana kuchukua hatua?Yule MR KUKU nae kawapiga hela wananchi kashtakiwa kalipa fine katoka saivi kaanza tena halafu serikali inamuangalia tu
Pesa tamu, huenda wamemwambia kapige tena ulete.
 
Laana itawatafuna tuu...cjui hii dhambi mtaitubu wapi?? Mnatuma watoto wa watu wakauze saa Mil 3?!! Tena mtaani!!..wakija shtuka wamepigwa wanachanganyikiwa mpaka barabara ya vumbi wanavushwa na watoto wa chekechea..!!!![emoji41][emoji41][emoji41]
Hahaha [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Acha kutetea utapeli. Network marketing ni utapeli hata huko kwenye nchi tajiri. Sema tajiri akitapeliwa maisha yanaendelea. Lakini kuna tahadhari kibao kuhusu MLM na study kibao jinsi gani ni utapeli.

Kikubwa ni kuna kitu wanaita uwazi na ukweli. Marekani watu walilalamika sana ikabidi Fair Competition Commission yao iwalazimishe makampuni ya MLM kuweka wazi taarifa za mapato ya mbuzi wao.

Ikagundulika kwamba mbuzi wanaokula ni 1% tu. 99% wanaliwa.
Duh, kumbe hata weupe wanatambarizwa [emoji23][emoji23]
 
WAATHIRIKA WA AJIRA ZA QNET WAANZA KUREJESHWA MAKWAO: Waathirika wa utapeli unaofanywa kupitia Kampuni ya Biashara ya Mtandao Q Net katika eneo la Mbezi Dar es Salaam wameanza kurejeshwa makwao kupitia operesheni maalumu inayofanywa na ofisi za wenyeviti a serikali za mitaa ikihusisha kuondolewa katika nyumba wanamoishi zoezi linalosimamiwa na Polisi Kata.

Mwenyekiti wa Mtaa wa Mbezi Louis amesema vijana hao wengi wao wakitoka nje ya mkoa wa Dar es salaam watafikishwa katika kituo kikuu cha Mabasi Magufuli ili kusubiria utaratibu wa kupata nauli za kurejea makwao na wale watakaokaidi watafikishwa mahakamani.

Chanzo: Azam TV

Wewe umeona wapi Kauli Mbiu ya Kampuni ni Salamu ya ''Good Morning' 'na hata mkikutana Mchana Saa 7 au Usiku Saa 1 bado mnatakiwa Kusalimiana hivyo hivyo 'Good Morning' tu?

Kama katika Salamu tu Wameshatudanganya (Kututapeli) katika Salamu hivi huko Kwingineko katika Masuala mazima ya Fedha na Mafanikio watakuwa Wakweli? Eti 'Good Morning' hovyo kabisa.

Na kinachoniuma zaidi ni kwamba Kampuni hii ya Kitapeli ya QNET imedekezwa mno na Serikali na imeumiza pia Watanzania wengi mpaka hata kuharibu Ndoa za Watu.
niliwahi kukalishwa masaa zaidi ya manne na hawa jamaa pale ilala walipoona sijaelewa somo wakanileta ofisi yao nyingine pale nyuma ya bamaga, nikalishwa maneno nikayatapika yote. Lakini nilikuta walimu kibao wanadanganyana eti unanunua mkufu kwa usd 1900 au water filter, niliwadharau sana.

imagine mtu anakushauri eti ununue holiday package ya kwenda Tahiti, Vanuatu, Fiji, Tuvalu na kwingineko ktk bahari ya pacific ilhali hata uwezo wa kwenda ngorongoro au mikumi huna!!
 
Mbn hi hbr Ni wiki mbili imeshatoka sas. iliripotiwa na itv na jackline dilemwa ktk kipindi chake kile Cha usku hata mkuu waa wilay bwna kher James alikuepo ilikuwa Ni kichekesho Sana. Walivyokuwa wnaojiwa wale vijana
 
WAATHIRIKA WA AJIRA ZA QNET WAANZA KUREJESHWA MAKWAO: Waathirika wa utapeli unaofanywa kupitia Kampuni ya Biashara ya Mtandao Q Net katika eneo la Mbezi Dar es Salaam wameanza kurejeshwa makwao kupitia operesheni maalumu inayofanywa na ofisi za wenyeviti a serikali za mitaa ikihusisha kuondolewa katika nyumba wanamoishi zoezi linalosimamiwa na Polisi Kata.

Mwenyekiti wa Mtaa wa Mbezi Louis amesema vijana hao wengi wao wakitoka nje ya mkoa wa Dar es salaam watafikishwa katika kituo kikuu cha Mabasi Magufuli ili kusubiria utaratibu wa kupata nauli za kurejea makwao na wale watakaokaidi watafikishwa mahakamani.

Chanzo: Azam TV

Wewe umeona wapi Kauli Mbiu ya Kampuni ni Salamu ya ''Good Morning' 'na hata mkikutana Mchana Saa 7 au Usiku Saa 1 bado mnatakiwa Kusalimiana hivyo hivyo 'Good Morning' tu?

Kama katika Salamu tu Wameshatudanganya (Kututapeli) katika Salamu hivi huko Kwingineko katika Masuala mazima ya Fedha na Mafanikio watakuwa Wakweli? Eti 'Good Morning' hovyo kabisa.

Na kinachoniuma zaidi ni kwamba Kampuni hii ya Kitapeli ya QNET imedekezwa mno na Serikali na imeumiza pia Watanzania wengi mpaka hata kuharibu Ndoa za Watu.
Hawa matapeli wanafanya utapeli kwa mujibu wa sheria, yaani wanafuta sheria, taratibu na na kanuni zote, hivyo hata kuwafungia haiwezekani
 
Back
Top Bottom