Tulishawaonyeni sana hapa JamiiForums kuwa hawa 'QNET' ni 'Matapeli' hamkusikia sasa ngojeni 'Wawanyoosheni' ili mkome

Tulishawaonyeni sana hapa JamiiForums kuwa hawa 'QNET' ni 'Matapeli' hamkusikia sasa ngojeni 'Wawanyoosheni' ili mkome

[emoji16][emoji16][emoji16] idea debator, bhana sijui nisemaje ila jamaa wamekomba ma boom ya wanafunzi mbaya mbovu aisee..

Mimi mwenyew wamenila kichwa japo niliweka Tsh 10000=/ kam mtaji..

Sent from my BAC-L21 using JamiiForums mobile app
Na wameliwa wengi juzi, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
niliwahi kukalishwa masaa zaidi ya manne na hawa jamaa pale ilala walipoona sijaelewa somo wakanileta ofisi yao nyingine pale nyuma ya bamaga, nikalishwa maneno nikayatapika yote. Lakini nilikuta walimu kibao wanadanganyana eti unanunua mkufu kwa usd 1900 au water filter, niliwadharau sana.

imagine mtu anakushauri eti ununue holiday package ya kwenda Tahiti, Vanuatu, Fiji, Tuvalu na kwingineko ktk bahari ya pacific ilhali hata uwezo wa kwenda ngorongoro au mikumi huna?
Rafiki angu aliambiwa ataenda Maldives, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nyie full vichekesho.
 
[emoji16][emoji16][emoji16] idea debator, bhana sijui nisemaje ila jamaa wamekomba ma boom ya wanafunzi mbaya mbovu aisee..

Mimi mwenyew wamenila kichwa japo niliweka Tsh 10000=/ kam mtaji..

Sent from my BAC-L21 using JamiiForums mobile app
Mimi nimewala elfu kumi kunakampuni inaitwa Mafanikio Lone, nilijaribu kuwakopa nikafanikiwa sasa wananipigia simu kila siku nilipe mkopo Yani wananisumbua na mimi siwalipi.
 
Mimi nimewala elfu kumi kunakampuni inaitwa Mafanikio Lone, nilijaribu kuwakopa nikafanikiwa sasa wananipigia simu kila siku nilipe mkopo Yani wananisumbua na mimi siwalipi.
Hata mm wanatapeli kwamba wanakukopesha elfu10 badala yake wanakupa 6 halafu wewe uwalipe 10..Riba ya wapi hiyo? Kwann kwenye app wanakwambia kiwango flani na wanakupa pungufu? Halafu ulipe karibu mara mbili
 
Laana itawatafuna tuu...cjui hii dhambi mtaitubu wapi?? Mnatuma watoto wa watu wakauze saa Mil 3?!! Tena mtaani!!..wakija shtuka wamepigwa wanachanganyikiwa mpaka barabara ya vumbi wanavushwa na watoto wa chekechea..!!!![emoji41][emoji41][emoji41]
Mkuu kwa bongo hii kweli ukiuza saa ya Milion 3 utaweza kupata wateja kweli?
 


Classic pyramid / Ponzi scheme, well known aa DECI
Asee mkuu niliingalia hii report nilifadhaika sana.Ila nlichogundua wengi karibia 90% wametokea mikoani.

Pia kingine wengi wao mpaka ITV inafika kuwahoji hawajakubali kukiri kama wametapeliwa.

Pia wengi wao wametokea kwenye hali duni lakini wamewalaghai wazazi na ndugu zao mpaka wakapewa zile pesa walizo toa ili kujiunga, mfano kuna binti mmoja katokea manyara alipoulizwa pesa katoa wapi (5M), akasema kawaelekeza wazazi wakauza shamba.
 
WAATHIRIKA WA AJIRA ZA QNET WAANZA KUREJESHWA MAKWAO: Waathirika wa utapeli unaofanywa kupitia Kampuni ya Biashara ya Mtandao Q Net katika eneo la Mbezi Dar es Salaam wameanza kurejeshwa makwao kupitia operesheni maalumu inayofanywa na ofisi za wenyeviti a serikali za mitaa ikihusisha kuondolewa katika nyumba wanamoishi zoezi linalosimamiwa na Polisi Kata.

Mwenyekiti wa Mtaa wa Mbezi Louis amesema vijana hao wengi wao wakitoka nje ya mkoa wa Dar es salaam watafikishwa katika kituo kikuu cha Mabasi Magufuli ili kusubiria utaratibu wa kupata nauli za kurejea makwao na wale watakaokaidi watafikishwa mahakamani.

Chanzo: Azam TV

Wewe umeona wapi Kauli Mbiu ya Kampuni ni Salamu ya ''Good Morning' 'na hata mkikutana Mchana Saa 7 au Usiku Saa 1 bado mnatakiwa Kusalimiana hivyo hivyo 'Good Morning' tu?

Kama katika Salamu tu Wameshatudanganya (Kututapeli) katika Salamu hivi huko Kwingineko katika Masuala mazima ya Fedha na Mafanikio watakuwa Wakweli? Eti 'Good Morning' hovyo kabisa.

Na kinachoniuma zaidi ni kwamba Kampuni hii ya Kitapeli ya QNET imedekezwa mno na Serikali na imeumiza pia Watanzania wengi mpaka hata kuharibu Ndoa za Watu.
nimetoka mbezi kwa msuguri juzi wana kakituo uchwara chao unaambiwa kuna dogo kapigwa 2M ya ada alikuwa akisomea Clinical Medicine huko kwao Shy Town acha huyo kuna mwingine wa Kigoma Alitoka sijui chuo gani kawaletea jamaa mpunga halafu ukiwacheki jamaa kiongozi wa ni kama Mnyarwanda hivi mana kwa nlivyokuwa namuhoji ana lafufh ya kina Kagame hivi ooooooh aseee hawa wan "GOOD MORNING" Sio watu kbsa Halafu mbna hamna vijana wa hapa SDaslama ni wa kuja tu ndio wanawamega

haamna
 
Sijaelewa waanza kurejeshwa makwao walikujaje hapa Dar?
Walidanganywa mkuu kuwa kuna kazi wanaenda pewa ila walipofika Dar wakaishia kufichwa kwenye chumba kimoja mpaka pale mama mmoja muhaya alipokutana nao kisimani
 
Biashara ya Neteork Marketing ha work kwa nchi masikini lazima ionekane ni utapeli, Qnet kama Qnet wapo sana shida Model yao kwa nchi masikini haofanyo kazi, ni the same na Folever living, GNLD na wengineo, Mfano ilianza GNLD wakashindwa wakaondoka lakini kampuni bado ipo na wana product kibao zinauzwa hata Tanzania na tunazitumia sana kama ile mbolea yao
Mpuuzi kabisa. Ndio umeandika nini?!
Jinga kabisa😡🤬
 
Back
Top Bottom