cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Ilinikuta hii 1St yr, 50k kwa week, afu tulikua 20, ko ni m1, mie nikapangwa wa 17, kufika roundas ya 13 mchezo unaanza kusua sua, weee nikadai pesa yangu yote niliyotoa, na niliipata, wengine sijui km walipata yote, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yes bro sikuona kama kuna cha maana, pesa nayoweka na kupata ni ile ile mbayaa zaidi unajikuta we kwenye mzunguko uko mbali wa 21 hukoo[emoji23][emoji23]