Tulishiriki tendo na akaingia period, leo ana mimba. Inawezekanaje?

Tulishiriki tendo na akaingia period, leo ana mimba. Inawezekanaje?

Chance kubwa ni ya kwako mkuu. Kilichotokea ni light period, ambayo baadhi ya wanawake hupata hata baada ya kutunga mimba. Anyway, linganisha tarehe, then bado una option ya DNA. ..... ila inawezekana
Ni muhimu kwanza jamaa aje atueleze mpenzi wake amemiss hedhi ngapi so far? Kama ni yake na ilitokana na tendo hilo, anatakiwa kuwa amemiss periods mbili May and June, baada ya hiyo period ya April
 
kama title inavyosema nina mpenzi wangu tulishiriki tendo mwezi wa nne mwishoni baada ya siku 3 akaingia period, leo ananiambia hajaingia period amepima pregnancy test imeonesha ana mimba.
nakaribisha wataalamu wanipe ufafanuzi juu ya hili swala je inawezekanaje?
Ushaibiwa hapo n'jomba
 
inawezekana mtu akableed na ana mimba hata miezi mi3
 
Kaka wanaume wengi wa Tanzania wanalea watoto ambao sio wao.. Hio mimba ni ha kwako..
 
Mkuu Kama Baada Ya Kumaliza Period Hujagonga tena Basi itakuwa Umeibiwa Hapo Kuna Kajamaa Pembeni Kajimegea Manzi Wako ikisha unabambikiwa Mtoto!
Sasa Mkuu Hakuna Kuchukuliana Fair Katika Kuibiana! Kwahiyo Nakushauri Haraka Nenda Geto Kamtimue Huyo Demu Akalee Mimba Yake na Huyo Mchizi Aliyempachika Hiyo Mimba.
Mkuu Usichukulie Poa, Usikubali Kuibiwa Kiulaini Hata Siku Moja Wakati Unagharamia Demu.
 
Una umri gani na umesoma mpaka darasa la ngapi?? Nauliza umri kwa kuwa huenda tunasema na mtoto asiyestahili hata kufundwa mambo haya.
Kukusaidia tu, mwanamke huteremsha mayai 2. Moja likiwahi nyumba ya uzazi, lile jingine hurudi taratibu. Ila kuna wakati yote yaweza ingia pamoja pale chumbani na yakapata mbegu yote. Lakini kuna wakati moja linanasa na mwenzake akakosa. likasahau kurudi likawiva na kupasuka likatoka nje MP. Sasa lile jingine likaendelea kukua na kuwa mimba.
All in all, hiyo mimba yaweza kabisa 98% kuwa ni yako. Kwa nini uanze kutokumwamini mwenzio? A good man is stable no matter what comes. Ulimpenda alipotoa pichu, mpende sasa japo kashiba maharage. Kama si yako, lelea hiyo, ikitoka baadaye uweke yako. Acha kumdhalilisha mtoto wa watu.
kama title inavyosema nina mpenzi wangu tulishiriki tendo mwezi wa nne mwishoni baada ya siku 3 akaingia period, leo ananiambia hajaingia period amepima pregnancy test imeonesha ana mimba.
nakaribisha wataalamu wanipe ufafanuzi juu ya hili swala je inawezekanaje?
kuna uwezekano mimba ilitungwa kitambo tu,,na inawezekana hiyo damu mliyodhani ni period huenda cyo...maana kuna baadhi ya wanawake huwa wanapata dam inayofanana na period....so take care
 
Haujamjibu ipasavyo, na kama scenario yako ya kutoa mayai mawili ingekuwa ndivyo ilivyo basi kungekuw na prevalence kubwa sana ya mapacha (fraternal). Kimsingi yai linatoka moja, na ovaries zinapevusha mayai kwa kubadilishana. Kuna wakati inaweza kutokea kila ovary ikapevusha yai na hapo yanaweza kushuka mawili na uwezekano mkubwa ni kutunga mimba mapacha.

Kwa suala lake, kwanza atueleze, kama baada ya tendo la ndoa mpenzi wake aliingia hedhi tarehe ngapi mwezi huo wa nne na baada ya hapo amemiss periods ngapi? Maana kama ilikuwa April, tunategemea sometime in May arudi hedhi, na June pia arudi hedhi (normally). kwa hiyo kama amemiss hedhi ya June, na ya May alipata, then mimba ilitungwa at least one week baada ya hedhi ya May, so kama hawakukutana May inawezekana mdada alikutana na mtu mwingine. Mbona haya yanaweza kutokea? Kuna rafiki yangu 'aliuziwa' mimba ambaye kwa mahesabu ya lini walikutana mara ya mwisho na mpenzi wake, mtoto alipaswa kuzaliwa njiti wa miezi saba, cha ajabu alizaliwa full term. Jamaa alishashtuka akamwambia ampeleke kwa Baba yake wa kweli.

Ila hapa tuna-speculate tu maana hatujui mambo ambayo walifanya wahusika, labda tupate details zaidi.
amemis period moja ambayo ilitakiwa kuanza june wishoni kuelekea july
 
Back
Top Bottom