Tulitaka kutengenezewa ukame bwawa la Mtera, tupazeni sauti tukiona ndivyo sivyo

Kwa faida ya wasomaji ni 30b usd na sio 30m usd
 
Mkapa akiwa Rais aliwa kusema ni bahati na faraja kubwa kuwa Rais wa Tanzania kwani Watanzania ni wapole na wavumilivu. Kikwete nae alikuja kuinukuu kauli hii.

Hapa ndipo tatizo linapo anzia, viongozi wanajua Watanzania ni wapole kwa hiyo wanaweza fanya chochote hata hujuma za wazi kabisa kwasababu wanajua no action will be taken. Kuna mambo yanafanywa na viongozi wakuu ingekuwa kwa nchi nyingine wasinge thubutu.
 
“Kwa kina hiki cha mita 5.76 tunaweza kuzalishha umeme kwa kiwango cha juu cha megawatts 80 kwa miezi saba ijayo hata kama tone moja la mvua halitaingia kwenye bwawa la Mtera”

- Meneja wa Kituo cha kuzalisha umeme Mtera, Elias Mwalupilo
Kihansi, Kidatu na Pangani ndiyo mabwawa yaliyoathiriwa na upungufu wa mvua. Bwawa la Mtera lina uwezo wa kuhifadhi maji kwa mwaka mmoja. Yaani lina resrvoir inayoweza kuback-up kwa mwaka mzima kwa hiyo huwa linakuwa la mwisho kukauka.
Kama hali ni mbaya zaidi wanaachia not at maximum capacity kurefusha matumizi na kusubiri mvua.
 
“Kwa kina hiki cha mita 5.76 tunaweza kuzalishha umeme kwa kiwango cha juu cha megawatts 80 kwa miezi saba ijayo hata kama tone moja la mvua halitaingia kwenye bwawa la Mtera”

- Meneja wa Kituo cha kuzalisha umeme Mtera, Elias Mwalupilo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…