Tulitaka kutengenezewa ukame bwawa la Mtera, tupazeni sauti tukiona ndivyo sivyo

Tulitaka kutengenezewa ukame bwawa la Mtera, tupazeni sauti tukiona ndivyo sivyo

Kihansi, Kidatu na Pangani ndiyo mabwawa yaliyoathiriwa na upungufu wa mvua. Bwawa la Mtera lina uwezo wa kuhifadhi maji kwa mwaka mmoja. Yaani lina resrvoir inayoweza kuback-up kwa mwaka mzima kwa hiyo huwa linakuwa la mwisho kukauka.
Kama hali ni mbaya zaidi wanaachia not at maximum capacity kurefusha matumizi na kusubiri mvua.
Bado hamjasema , ukweli ndio huo
 
Kihansi, Kidatu na Pangani ndiyo mabwawa yaliyoathiriwa na upungufu wa mvua. Bwawa la Mtera lina uwezo wa kuhifadhi maji kwa mwaka mmoja. Yaani lina resrvoir inayoweza kuback-up kwa mwaka mzima kwa hiyo huwa linakuwa la mwisho kukauka.
Kama hali ni mbaya zaidi wanaachia not at maximum capacity kurefusha matumizi na kusubiri mvua.
Maji yanamuelekeo ,niambie hayo maeneo yenye upungufu wa maji na bwawa la Mtera wa ni juu na wapi ni bondeni
 
“Kwa kina hiki cha mita 5.76 tunaweza kuzalishha umeme kwa kiwango cha juu cha megawatts 80 kwa miezi saba ijayo hata kama tone moja la mvua halitaingia kwenye bwawa la Mtera”

- Meneja wa Kituo cha kuzalisha umeme Mtera, Elias Mwalupilo
Kwani nani kasema mitambo izimwe? Kilichopo ni uzalishaji kupungua,watu mna fitina na chuki Sana..

Hata hizo mgwt zikizalishwa haiondoi Mgao maana so far uzalishaji unaendelea.
 
Mkapa akiwa Rais aliwa kusema ni bahati na faraja kubwa kuwa Rais wa Tanzania kwani Watanzania ni wapole na wavumilivu. Kikwete nae alikuja kuinukuu kauli hii.

Hapa ndipo tatizo linapo anzia, viongozi wanajua Watanzania ni wapole kwa hiyo wanaweza fanya chochote hata hujuma za wazi kabisa kwasababu wanajua no action will be taken. Kuna mambo yanafanywa na viongozi wakuu ingekuwa kwa nchi nyingine wasinge thubutu.
Wanataka kuwasha lile limtambo la Dowans, ambalo limekaa muda mrefu sana bil kufanya kazi. Tutalipia kila kitu
 
Shime watanzania tuunganishe nguvu, tupaze sauti yetu Mama Samia atatusikia! Sudan mbona wananchi wamesikilizwa na jeshi limerudisha madaraka kwa wananchi? Kwanini sisi tushindwe?
Mama Samia, Rais wa JAmhuri ya Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu TUONDOLEE MAKAMBA na BODI NZIMA YA TANESCO, watatuuza hawa!

Wito kwa vyombo vya ulizni na usalama na waandishi wa habari wazalendo wa Tanzania, wekeni mitego kwenye mabwawa yote mkianzia Mtera, zipo tetesi tangu jana kuwa maji yatamwagwa usiku....
 
Kwani nani kasema mitambo izimwe? Kilichopo ni uzalishaji kupungua,watu mna fitina na chuki Sana..

Hata hizo mgwt zikizalishwa haiondoi Mgao maana so far uzalishaji unaendelea.
“Kiwango cha juu” means umeme wa kutosha,labda utuambie wewe unadhani inabidi bwawa liwe na maji kiasi gani ili kuzalisha umeme wa kusemwa unatosha?

Weka mahaba ya kisambaa pembeni ongea facts!
 
Swali dogo kwa wataalamu haiwezekani katika mfumo wa mabwawa kuweka pump kadhaa kubwa kurejesha Sehemu ya Maji katika bwawa la Akiba baada matumizi ikihitajika?
 
ni ngumu sana kuwadhibiti mafisadi, saivi wamehamisha magoli eti waanzishe mdradi wa umeme wa solar na upepo ili wakapigie huko. kuna rafiki yangu ni technician tanesco alinambia kinachoendelea pale ni usanii maana wateja wapya na wazamani wanatumia 60% pekee ya umeme unaozalishwa tanesco hivo hata kama miezi hii maji hupungua hakuna athari yoyote, alinambia kwa sasa wanafanya kazi kwa maelekezo ya wakubwa na wala hakukua na matatizo ya matengenezo yoyote, alinambia laiti kungekua na matatizo hayo tunayolazimishwa kuaminishwa basi yangeshaonekana na wala yasingejitokeza ghafla baada ya boss mpya kuingia wizarani.
 
ni ngumu sana kuwadhibiti mafisadi, saivi wamehamisha magoli eti waanzishe mdradi wa umeme wa solar na upepo ili wakapigie huko. kuna rafiki yangu ni technician tanesco alinambia kinachoendelea pale ni usanii maana wateja wapya na wazamani wanatumia 60% pekee ya umeme unaozalishwa tanesco hivo hata kama miezi hii maji hupungua hakuna athari yoyote, alinambia kwa sasa wanafanya kazi kwa maelekezo ya wakubwa na wala hakukua na matatizo ya matengenezo yoyote, alinambia laiti kungekua na matatizo hayo tunayolazimishwa kuaminishwa basi yangeshaonekana na wala yasingejitokeza ghafla baada ya boss mpya kuingia wizarani.
Maneno yako yana ukweli mwingi....
Ile combination iliyopo wizarani ni ya wezi wakubwa sana...lazima ina baraka kutoka juu....
 
ni ngumu sana kuwadhibiti mafisadi, saivi wamehamisha magoli eti waanzishe mdradi wa umeme wa solar na upepo ili wakapigie huko. kuna rafiki yangu ni technician tanesco alinambia kinachoendelea pale ni usanii maana wateja wapya na wazamani wanatumia 60% pekee ya umeme unaozalishwa tanesco hivo hata kama miezi hii maji hupungua hakuna athari yoyote, alinambia kwa sasa wanafanya kazi kwa maelekezo ya wakubwa na wala hakukua na matatizo ya matengenezo yoyote, alinambia laiti kungekua na matatizo hayo tunayolazimishwa kuaminishwa basi yangeshaonekana na wala yasingejitokeza ghafla baada ya boss mpya kuingia wizarani.
Ndio maana kwa ile pointi ya Zitto eti Rais anafungua nchi mahitaji ya umeme yameongezeka, nikajiuliza huku kufungua nchi kunahusiana nini na kuongezeka ghafla mahitaji ya umeme?

Kwani tangu Samia aingie madarakani ameshajenga viwanda vingapi? ukweli hakuna; au alimaanisha kufungua nchi kwa kupanda ndege kwenda ulaya na kwingineko ndio kunaongeza matumizi ya umeme?!

Hii hoja ya Zitto ilikuwa ya kitapeli kabisa, mafisadi wanachofanya sasa kwa kushirikiana na vibaraka wao ni kutafuta vijisababu vya kuokoteza ilimradi huo mradi wao wa LNG uanze wapige hela.

Makamba nae anasema nchi haina winchi ya tani 26, alipoona kelele zinazidi akadai wameagiza nje, kama alijua inawezekana kuagizwa nje kwa nini hakusema hivyo kabla? hawa watu ni tatizo tusipokuwa makini watatupiga kama sio wameshaanza kutupiga.
 
Maneno yako yana ukweli mwingi....
Ile combination iliyopo wizarani ni ya wezi wakubwa sana...lazima ina baraka kutoka juu....
unaambiwa baada ya makelele mengi genge wamekaa vikao vingi na hatimae wakabadili mwelekeo kwa kuja na mradi wa umeme wa solar na upepo bt malengo makubwa ni upigaji maana hatuna upungufu wa umeme ila kwa kua njia yao imeshtukiwa wamelazimika kubadili mbinu.
 
Back
Top Bottom