Nnangale
JF-Expert Member
- Jul 20, 2013
- 2,664
- 1,379
Umechelewa kumjua, Kama mama.Sina imani tena na Waziri Makamba.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umechelewa kumjua, Kama mama.Sina imani tena na Waziri Makamba.
Labda wapo kimkakati na kwa kusudi maalum,Ndio maana nilisema Rais Samia atengue wadhifa wa Waziri Makamba na bodi nzima ya Tanesco,hilo ni kundi la wezi tu
Aiseee...hili halishangazi...yaani umuweke January..Maharage..Mafuru na Nehemia alafu wasikwapue?.....unaambiwa baada ya makelele mengi genge wamekaa vikao vingi na hatimae wakabadili mwelekeo kwa kuja na mradi wa umeme wa solar na upepo bt malengo makubwa ni upigaji maana hatuna upungufu wa umeme ila kwa kua njia yao imeshtukiwa wamelazimika kubadili mbinu.
Afrika kila mtu mwizi na ukiwa fisadi ufungwi unapigwa fine,nafasi sijapata tu ya kula tozo.Majizi yanapanga mbinu zingine, hayakomagi hayo
Hao Wana phd ya ukwapuzi,wakwapue tu ila wasiwekeze njeAiseee...hili halishangazi...yaani umuweke January..Maharage..Mafuru na Nehemia alafu wasikwapue?.....
Hata mimi aisee!Sina imani tena na Waziri Makamba.
Arudi Medard Kalemani ama?Ndio, mkurugenzi mkuu na bodi yake +Waziri January Makamba
Kwani Ile mitambo ya kuzalisha umeme bado hipo nchini, Agreco, Symbion, dowans?Wanataka kuwasha lile limtambo la Dowans, ambalo limekaa muda mrefu sana bil kufanya kazi. Tutalipia kila kitu
Huyu hatukiwahi kumuani abadanNa mama pia
Zito hajielewiZitto anazungumziaje hii kauli
Mkuuu CCM NDIO CHANZO CHA MATATZO"Hata kama tusipopata tone la maji bado tunaweza kuzalisha umeme kwa miezi saba ijayo" - Meneja Bwawa la Mtera.
Inavyoonekana hawa wazito huwa wanaenda field wanapewa taarifa za kweli, lakini wao wakija kwenye majukwaa yao ya twitter wanaingiza siasa zao ili kutimiza malengo yao ovu kwa taifa, na kwa vile hawa mameneja miradi hawana uwezo wa kuwapinga, basi mafisadi wanajifanyia watakavyo.
Ole wao mafisadi wa nchi hii wamshughulikie huyo meneja, ameamua kuwa mkweli kwa nafsi yake na nchi yake, hawa jamaa ni wezi na wanafahamika kwa matendo yao miaka na miaka, kuwatetea kwa kutuletea namba nyingi kwenye long articles ni kupoteza muda tu, haya mambo ni kile kinachotokea field na wala sio kutuletea namba za darasani.
Rais anakurupuka kuleta habari za LNG na wajanja nao wanachukua nafasi hiyo kutengeneza mianya ya kutupiga huku Zitto akiwa mpiga zumari, wanajua pale kuna $ 30 bil. ni nani mwenye akili timamu wakuiamini hii combination ya Zitto na Makamba?
Badala ya kumalizia mradi wa Bwawa la Nyerere wanaenda kutumbukiza mapesa mengi kutengeneza mradi mpya, hivi kwa akili ya kawaida tu hii kitu inaeleweka kweli? tumezungukwa na circle ya wapigaji lazima tuwe makini.
Hawzi liona hili miwani yake si yakuona ni ya kupanda ngazi za ndege tu basiMeneja wa hilo bwawa apandishwe cheo na alindwe, tunahitaji wazalendo nchi hii , Rais Samia alione hili
Wamemtoa singa lupango sasa wanataka kumrejesha kazini waendelee kupiga hela ya tanesco. Walaaniwe fisadi wa nchi hii wote.“Kwa kina hiki cha mita 5.76 tunaweza kuzalishha umeme kwa kiwango cha juu cha megawatts 80 kwa miezi saba ijayo hata kama tone moja la mvua halitaingia kwenye bwawa la Mtera”
- Meneja wa Kituo cha kuzalisha umeme Mtera, Elias Mwalupilo
Mtoto wa shemeji yakeHivi kwanini Samia anamlea huyu Makamba ?
Manyuzi on duty.“Kwa kina hiki cha mita 5.76 tunaweza kuzalishha umeme kwa kiwango cha juu cha megawatts 80 kwa miezi saba ijayo hata kama tone moja la mvua halitaingia kwenye bwawa la Mtera”
- Meneja wa Kituo cha kuzalisha umeme Mtera, Elias Mwalupilo
alipachikwa kimkakati ,mipgo tu.uzuri watz wa Sasa sio wa enzi zile.akiendelea na ujinga wake....................Sina imani tena na Waziri Makamba.