chazachaza
JF-Expert Member
- Feb 21, 2018
- 2,829
- 3,835
Napenda kumshauri mama ,huyu meneja wa mtera ,apandishwe cheo ,pili alindwe,tatu muweke karibu yaani awe jicho lako kwenye hii wizara.Ni mzalendo na anaaminika vya kutosha.nne huyu wazr achana nae,anakuharibia vya kutosha,atakupa kazi ngumu kwa wananchi .