Black Butterfly
Senior Member
- Aug 31, 2022
- 130
- 368
Ukiangalia gharama kubwa za maisha zinavyozidi kuwatesa wananchi, kila kitu kimepanda bei kuanzia chakula, mafuta, vifaa vya ujenzi ndio kabisaaaa. Kuna wakati najiuliza tulitumia zaidi ya Tsh. Bilioni 7 kwaajili ya kushoot filamu ya Royal Tour ili iweje sasa? zimerudi gharama kiasi gani mpaka sasa?
Kwanza ni Watanzania wangapi mpaka sasa wamefanikiwa kuiona hiyo filamu? nna uhakika hata 1000 hawafiki, sasa hebu fikiria kitu cha kwetu wenyewe hatujakiona mpaka leo. What was the reason ya kushoot? tuna TV zetu hapa Bongo lakini hazina kibali cha kuionesha kwa Watanzania, ukitaka kuiangalia inabidi ulipie sio chini ya Tsh. 30,000.
Mambo ya ajabu sana yaani maudhui yametoka nchini kwetu lakini ili kuyaona inabidi sisi wenye nayo tuyalipie na bado tuliwalipa waliokuja kuyachukua. Wajinga ni sisi.
Haya turudi kwenye fadia zilizopatikana kwenye hiyo ROYO TUA, mpaka sasa zimejenga madara mangapi? au ndio tumefeli tumeamua kuchukua TOZO ndio ziendeshe nchi?
Nina hasira wacha nikanywe maji. SMH
Kwanza ni Watanzania wangapi mpaka sasa wamefanikiwa kuiona hiyo filamu? nna uhakika hata 1000 hawafiki, sasa hebu fikiria kitu cha kwetu wenyewe hatujakiona mpaka leo. What was the reason ya kushoot? tuna TV zetu hapa Bongo lakini hazina kibali cha kuionesha kwa Watanzania, ukitaka kuiangalia inabidi ulipie sio chini ya Tsh. 30,000.
Mambo ya ajabu sana yaani maudhui yametoka nchini kwetu lakini ili kuyaona inabidi sisi wenye nayo tuyalipie na bado tuliwalipa waliokuja kuyachukua. Wajinga ni sisi.
Haya turudi kwenye fadia zilizopatikana kwenye hiyo ROYO TUA, mpaka sasa zimejenga madara mangapi? au ndio tumefeli tumeamua kuchukua TOZO ndio ziendeshe nchi?
Nina hasira wacha nikanywe maji. SMH