Tulitumia zaidi ya Tsh. Bilioni 7 kurekodi Royal Tour, tumeingiza kiasi gani mpaka sasa?

Tulitumia zaidi ya Tsh. Bilioni 7 kurekodi Royal Tour, tumeingiza kiasi gani mpaka sasa?

Imeisha iyo tuanue tu tanga, hatuna hakimiliki na ile filamu tujadili tu ya tozo sasa na panyaroad
Watuambie na hela za sensa ya pili zimeenda wapi? Hatujasahau bado -Kila siku ni msiba mpya, kwa staili hii matanga hayatoisha mkuu- hawa watu washatuona wapumbavu.
 
Swali lako halina mantiki kabisa. Aliyekuambia lengo ni kurudisha gharama ndani ya miezi sita ni nani? Hata hivyo, husikii taarifa za kufurika kwa watalii huko kaskazini na Zanzibar?

Je wafanyabiashara katika sekta ya utalii hawafaidiki? Hujaona namna waongoza watalii walivyo busy back to back?

Isitoshe, si watu kama wewe waliokuwa wakilalamika kuwa hatutangazi utalii ipasavyo na badala yake Kenya wanatumia fursa?

Ulitaka kifanyike nini ili uridhike? Binadamu ni kiumbe wa ajabu sana yaani. Hajui alitakalo, kazi kulalama tu.
Watalii walipungua kwasababu ya COVID-19 travel restrictions worldwide. Recently restrictions na COVID 19 zimepungua kama sio kwisha watu walikuwa na hamu ya kusafiri ndio maana watalii na wasafiri wamefurika dunia nzima.
Tusidanganyane ni kwasababu ya royal tour.
 
Husikii tarifa za kufurika watalii?

Ndo nini we kiazi aka mlamba asali?
Ha
Watalii walipungua kwasababu ya COVID-19 travel restrictions worldwide. Recently restrictions na COVID 19 zimepungua kama sio kwisha watu walikuwa na hamu ya kusafiri ndio maana watalii na wasafiri wamefurika dunia nzima.
Tusidanganyane ni kwasababu ya royal tour.
Wewe hujapenda tu initiative iliyofanyika kutangaza utalii. Hiyo sbb uliyoitoa iko kihisia zaidi.
 
Wewe unayekaa kigurunyembe huwezi ona nenda Chugga utaona mizungu inavyomiminika
 
Nionyeshe ni ibala ipi kwenye katiba inaniambia ni lazima nimpende Rais,?
Sasa usitutukane sisi tunaokubali mkakati wake wa Royal tour. Kama ulivyo na haki hiyo ya kutomkubali, basi tambua wapo wanaomkubali kama mimi. Huna haki ya kuniita kiazi kwa jambo hilo.
 
Subirini tupo studio tunaandaa nyingine tutaiachia muda si mrefu.
 
Haya maswali ya kuuliza kwenye jamii zinazojiendesha kisayansi. Kwetu tour ilifanikiwa au kufeli kabla haijatoka, kutegemea na unayemuuliza.
 
Mambo ya ajabu sana yaani maudhui yametoka nchini kwetu lakini ili kuyaona inabidi sisi wenye nayo tuyalipie na bado tuliwalipa waliokuja kuyachukua. Wajinga ni sisi.🥲[emoji57]
Hata sielewi kitu. Hii ni sawa na biashara ya tanesco wanakuuzia nguzo, mita na nyaya badae wanasema mali zao na hutakiwi hata kuzigusa.
 
Back
Top Bottom