Akili Unazo!
JF-Expert Member
- Feb 18, 2009
- 3,930
- 4,912
TULIVYOACHANA ALINIAMBIA MTOTO SIYO WA KWANGU, AMEACHWA TENA ANATAKA NIMRUDIE.
Dunia hii hawa Wanawake wamekuwa Vichaaa siyo Bure.... kaka nimekwama najitaji ushauli naomba nisaidie.
"Nilikuwa na mpenzi wangu nilikuwa naishi nae ingawa tulikuwa bado hatujaoana ila tulikuwa tunaishi pamoja kama mke na mume na wazazi wake na wa kwangu walilijua hilo..... mahusiano yetu hayakwenda bure tulibahatika kupata mtoto wetu wa kiume.
Kiukweli nilikuwa nampenda sana mpenzi wangu, yani sanaa ingawa yeye alikuwa bado hajawa tayari kuwa mke ndiyo maana alikuwa hataki nimuoe mapema.
Miezi 8 baadae baada ya mtoto kuzaliwa, nilimfumania na mwanaume mwingine wakiwa faragha, badala aniombe msamaha alinitukana sana mbele ya umati wa watu na kusema hata mtoto siyo wa kwangu, ni kihelehele changu tu cha kuhudumia....
Niliumia sana yani ile kauli inaniuma mpaka leo ukizingatia nimelea tangu wiki ya kwanza hadi kujifungua, mtoto hakufanana na mimi ila sikujali maana mtoto anaweza kufanana na mama yake tu kwahiyo sikuwaza sana, kutokana na kauli zile niliumia sana nikaja kumuacha.
Sasa siku za hivi karibuni ananisumbua eti nisamehe ni shetani alimuingia, mara ulikuwa ni utoto mtoto ni wangu, na ameniambia kule pia kaachika, nifanyaje kaka?
Dunia hii hawa Wanawake wamekuwa Vichaaa siyo Bure.... kaka nimekwama najitaji ushauli naomba nisaidie.
"Nilikuwa na mpenzi wangu nilikuwa naishi nae ingawa tulikuwa bado hatujaoana ila tulikuwa tunaishi pamoja kama mke na mume na wazazi wake na wa kwangu walilijua hilo..... mahusiano yetu hayakwenda bure tulibahatika kupata mtoto wetu wa kiume.
Kiukweli nilikuwa nampenda sana mpenzi wangu, yani sanaa ingawa yeye alikuwa bado hajawa tayari kuwa mke ndiyo maana alikuwa hataki nimuoe mapema.
Miezi 8 baadae baada ya mtoto kuzaliwa, nilimfumania na mwanaume mwingine wakiwa faragha, badala aniombe msamaha alinitukana sana mbele ya umati wa watu na kusema hata mtoto siyo wa kwangu, ni kihelehele changu tu cha kuhudumia....
Niliumia sana yani ile kauli inaniuma mpaka leo ukizingatia nimelea tangu wiki ya kwanza hadi kujifungua, mtoto hakufanana na mimi ila sikujali maana mtoto anaweza kufanana na mama yake tu kwahiyo sikuwaza sana, kutokana na kauli zile niliumia sana nikaja kumuacha.
Sasa siku za hivi karibuni ananisumbua eti nisamehe ni shetani alimuingia, mara ulikuwa ni utoto mtoto ni wangu, na ameniambia kule pia kaachika, nifanyaje kaka?