Faru dume
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 471
- 116
Poleni wananzengo,
Si vibaya kukumbuka nyakati zilizopita pindi tukiwa watoto wadogo ukiachana na maswali ya kidadisi kama vile "Eti mama mimi nimetoka wapi?"
Je ulishawahi kuwaza nini kipindi cha utoto wako ukaja gundua sio kweli ulivyokuwa ukihisi?
Mfano mimi nilijua watu wazima hawaendi haja kubwa (chooni).
Je, wewe?
Karibuni.
Si vibaya kukumbuka nyakati zilizopita pindi tukiwa watoto wadogo ukiachana na maswali ya kidadisi kama vile "Eti mama mimi nimetoka wapi?"
Je ulishawahi kuwaza nini kipindi cha utoto wako ukaja gundua sio kweli ulivyokuwa ukihisi?
Mfano mimi nilijua watu wazima hawaendi haja kubwa (chooni).
Je, wewe?
Karibuni.